Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge?

Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge?

kipchog

Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
21
Reaction score
27
Ndugu wanajamvi wenzangu mabibi na mabwana natumai mu wazima. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kufahamu Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge.

Wiki iliyopita kulikuwa na shamra shamra za mapokezi ya mwenge wa uhuru eneo nililopo. Sasa mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwepo katika mapokezi hayo.

Kulikuwa na shamra shamra za hapa na pale wakati tukiwa tunausubiri mwenge na nilikuwa nimevaa kofia(cape). Wakati huo kulikuwa na vijana wanaoimba imba na kufanya eneo lile liwe na uchangamfu.

Kama sijakosea nafikiri ni skaut. Chakushangaza wakati mwenge unapita katika eneo nililokuwepo akaja kiongozi wa vijana wa wale waliokuwa wanachamgamsha kwa kuimba akaniambia "geuza kofia" yaani ile sehemu ya mbele iende nyuma na sehemu ya nyuma iende mbele.

Nikatii agizo kwasababu najua wale watu hawanaga mbili. Ndugu wanajamvi wenzangu naomba kujua maana ya kitendo hicho ni Nini?

Lakini pia wale vijana waliokuwa wanaoimba walikuwa wanaimba matusi matusi tu. Ki ukweli sijasikia nyimbo za kizalendo au zenye maadili, mpaka nikajiuliza au huu mwenge una agenda ambazo zimejificha? Naomba mwenye ufahamu wa hili anijuze.

Ahsanteni.
 
wakati unaenda hukutushirikisha sasa usitushirikishe na uliyoyaona, mwanaume mwenye msimamo huwa hayumbishwi inaonyesha ungeambiwa hata uvue suru ungevua wewe!...
 
Ndugu wanajamvi wenzangu mabibi na mabwana natumai mu wazima. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kufahamu Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge.

Wiki iliyopita kulikuwa na shamra shamra za mapokezi ya mwenge wa uhuru eneo nililopo. Sasa mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwepo katika mapokezi hayo.

Kulikuwa na shamra shamra za hapa na pale wakati tukiwa tunausubiri mwenge na nilikuwa nimevaa kofia(cape). Wakati huo kulikuwa na vijana wanaoimba imba na kufanya eneo lile liwe na uchangamfu.

Kama sijakosea nafikiri ni skaut. Chakushangaza wakati mwenge unapita katika eneo nililokuwepo akaja kiongozi wa vijana wa wale waliokuwa wanachamgamsha kwa kuimba akaniambia "geuza kofia" yaani ile sehemu ya mbele iende nyuma na sehemu ya nyuma iende mbele.

Nikatii agizo kwasababu najua wale watu hawanaga mbili. Ndugu wanajamvi wenzangu naomba kujua maana ya kitendo hicho ni Nini?

Lakini pia wale vijana waliokuwa wanaoimba walikuwa wanaimba matusi matusi tu. Ki ukweli sijasikia nyimbo za kizalendo au zenye maadili, mpaka nikajiuliza au huu mwenge una agenda ambazo zimejificha? Naomba mwenye ufahamu wa hili anijuze.

Ahsanteni.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji19][emoji19][emoji19]


[emoji485][emoji485]Tz ina meng aisee
 
Ndugu wanajamvi wenzangu mabibi na mabwana natumai mu wazima. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kufahamu Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge.

Wiki iliyopita kulikuwa na shamra shamra za mapokezi ya mwenge wa uhuru eneo nililopo. Sasa mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwepo katika mapokezi hayo.

Kulikuwa na shamra shamra za hapa na pale wakati tukiwa tunausubiri mwenge na nilikuwa nimevaa kofia(cape). Wakati huo kulikuwa na vijana wanaoimba imba na kufanya eneo lile liwe na uchangamfu.

Kama sijakosea nafikiri ni skaut. Chakushangaza wakati mwenge unapita katika eneo nililokuwepo akaja kiongozi wa vijana wa wale waliokuwa wanachamgamsha kwa kuimba akaniambia "geuza kofia" yaani ile sehemu ya mbele iende nyuma na sehemu ya nyuma iende mbele.

Nikatii agizo kwasababu najua wale watu hawanaga mbili. Ndugu wanajamvi wenzangu naomba kujua maana ya kitendo hicho ni Nini?

Lakini pia wale vijana waliokuwa wanaoimba walikuwa wanaimba matusi matusi tu. Ki ukweli sijasikia nyimbo za kizalendo au zenye maadili, mpaka nikajiuliza au huu mwenge una agenda ambazo zimejificha? Naomba mwenye ufahamu wa hili anijuze.

Ahsanteni.
Katika shamrashamra hizo uliamriwa na kutii kugeuza kofia yako, huoni kuwa ni kitu cha ajabu kwako!? Huu ni ushahidi mmojawapo kuwa mwenge ukimbizwao eneo fulani huweza kufisha maono, na hata kuharibu kabisa fikra pevu pamoja na mawazo chanya.

Wewe mwenyewe umeshuhudia nyimbo zikiimbwa zikiwa na vionjo vyenye matusi mengi. Je! Katika tukio rasmi lililoratibiwa na serikali, hivi unategemea kukiona kitu kama hicho. Ukimbizaji wa mbio za mwenge ni matokeo ya masharti ya kafara na ushirikina yaliyofanyika ili kuzidi kuwapumbaza Watanganyika.
 
Back
Top Bottom