Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 300
Nasikia kuna style ambazo ukifanya na mwanamke zinasukuma kizazi ndani, na kadiri mnavyo fanya kwa muda mrefu ndio kizazi kinavyozidi kwenda mbali zaidi, na kizazi kinavyo zidi kwenda mbali ndo uwezekano wa mbegu za kiume kuingia kwenye kizazi unavyozidi kuwa mdogo.
Je usha yasikia haya? Je yana ukweli wowote ndani yake?
Namuomba Erotica aje hapa, uzoefu wake kwenye hii makitu unahusika, pia Bishanga,Ta Kamugisha na ruttashobolwa tunahitaji majibu yenu kwa sababu tumesikia mmefanya sana research kuhusu styles!
ewiii mdomoni tena yani utoke kukojoa afu mii ninanliu khaaa uchafu gani huo , ila MBO ikiwa kubwa sana inasukuma kizazi mbali ,ila kwa wale wanaume waelewa wanashauriwa waende hospitali wanapewa ring flani hivi ambayo atavaa mwanaume , ambayo hulimit M..O kuingia yote kwenye nanlii otherwise mwanamke huenda akapasuka huko
mh! Kuhusu ring umedanganya. Kitaalam ring ni kwa wale ambao mzigo unawahi kulala so wanavaa ring ili kuzuia damu iliyo mzigoni iendelee kusimamisha mtambo.
mi nasikisikaga wanaongea watu hee kumbe ndo hivyo dah kazi kweli