Kuna sura halisi na sura bandia

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Your browser is not able to display this video.

Wanaonekana “wagonjwa” watatu wa uviko (Ramona Khoury, Fawaz Dandan na Osama Ahmad) wakieleza hali mbaya waliyopitia kwenye ugonjwa huu. Walidaiwa kuwa wako Concord Hodpital, kule Sidney, Australia.
Kwa “masikitiko” wanasema wanatamani wangejua mapema, wangepata sindano. Kisha wanasema, kachomeni jamani.

Watu wakaingiwa na mashaka. Hawa ni wagonjwa kweli?
Mmojawapo akaamua kufuatilia.
Akapiga simu.

Mpigasimu: Hapo ni Concord Hospital?
Mpokeaji: Ndio, nikusaidie nini?
Mpigasimu: Mimi ni John Khoury. Namtafuta mke wangu.
Mpokeaji: Ni mgonjwa?
Mpigasimu: Anaitwa Ramona Khoury
Mpokeaji: Hata sioni mtu yeyote mwenye jina hilo.

……………

Mmhh!!
Nisiseme sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…