Kuna taarifa kwamba TFF inawabembeleza GSM Warejeshe udhamini wao kwenye ligi ya NBC

Kuna taarifa kwamba TFF inawabembeleza GSM Warejeshe udhamini wao kwenye ligi ya NBC

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Haya kwangu ni sawa na maajabu ! Waliojitoa wanabembelezwaje tena warudi ?

%F0%9D%90%93%F0%9D%90%84%F0%9D%90%93%F0%9D%90%84%F0%9D%90%92%F0%9D%90%88%3A_TFF_imeripotiwa_ku...jpg
 
Naiona GSM kama Ukraine, Tff kama USA na Simba ni Urusi na Yanga ni NATO tu. Kitu kilekile kitatokea na USA wataishia Russia vikwazo vingi ila Putin ataichapa Ukraine na hakuna wa kuingilia kati ya hao watabaki maneno tu meengi.
 
Back
Top Bottom