Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Waache wahangaike na ujinga wao... Yule mrembo wetu wa Simba atawasambaratisha kama kawaida yake.
kwanini wabembelezwe ?Tulizo mshono. Ulichonga sana.
AiseeeeTuliwaambia makolo kuwa GSM ni Kama maji....
Nenda kadhamini wewe bro.
umeelewa uzi ?Nenda kadhamini wewe bro.
Mchawi.
Dhamini wewe basi Kama una mkwanja...
Mudi si hana hela za kuwekakwanini wabembelezwe ?