Tetesi: Kuna taarifa ya kufua umeme wa gesi asilia unaogharimu bilioni 500

Tetesi: Kuna taarifa ya kufua umeme wa gesi asilia unaogharimu bilioni 500

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Ndugu zangu wana jamvi humu ipo tetesi inayosambaa kwa kasi kuwa kuna mradi wa kufua umeme wa thamani ya sh bilion 500 katika wizara ya nishati, mimi nimekaa nikawaza matrion yaliyotumika katika bwawa la umeme wa julias nyerere yameenda bure watanzania tumerogwa na nani mbona miradi mingi inaanzishwa ya aina moja huku mradi mwingine haujakamilika mbona pesa za wananchi zinachezewa namna hii. Watanzania siyo wajinga

Aidha mimi binafsi nasikitika kusikia hilo kwakuwa mradi mwingine bado unaangalia kwa kushupaza shingo .
 
Taratibu mkuu, vita pumzi kwanza
Taarifa zinasambaa wapi? Source ya taarifa? Huo umeme wa billion 500 ni kupitia chanzo gani; gas? Solar? Thermal? Kwa afya yako na wanaokutegemea, punguza maumivu... Wakiamua wameamua
 
Taratibu mkuu, vita pumzi kwanza
Taarifa zinasambaa wapi? Source ya taarifa? Huo umeme wa billion 500 ni kupitia chanzo gani; gas? Solar? Thermal? Kwa afya yako na wanaokutegemea, punguza maumivu... Wakiamua wameamua
Gesi asilia
 
Uko kama unafukuzwa na mbwa wa polisi, ebu kaa chini, kunywa maji, shusha pumzi, futa jasho, mapigo ya moyo yashuke, rudia tena kunywa maji, tulia kwanza, relax

Haya leta habari kamili.. Unasemaje?
 
Ndugu zangu wana jamvi humu ipo tetesi inayosambaa kwa kasi kuwa kuna mradi wa kufua umeme wa thamani ya sh bilion 500 katika wizara ya nishati, mimi nimekaa nikawaza matrion yaliyotumika katika bwawa la umeme wa julias nyerere yameenda bure watanzania tumerogwa na nani mbona miradi mingi inaanzishwa ya aina moja huku mradi mwingine haujakamilika mbona pesa za wananchi zinachezewa namna hii. Watanzania siyo wajinga

Aidha mimi binafsi nasikitika kusikia hilo kwakuwa mradi mwingine bado unaangalia kwa kushupaza shingo .
Umeipata wapi hii habari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu wana jamvi humu ipo tetesi inayosambaa kwa kasi kuwa kuna mradi wa kufua umeme wa thamani ya sh bilion 500 katika wizara ya nishati, mimi nimekaa nikawaza matrion yaliyotumika katika bwawa la umeme wa julias nyerere yameenda bure watanzania tumerogwa na nani mbona miradi mingi inaanzishwa ya aina moja huku mradi mwingine haujakamilika mbona pesa za wananchi zinachezewa namna hii. Watanzania siyo wajinga

Aidha mimi binafsi nasikitika kusikia hilo kwakuwa mradi mwingine bado unaangalia kwa kushupaza shingo .
Mkuu RWANDES , kwenye miradi mikubwa, kuna kitu kinaitwa concurrent, yaani miradi zaidi ya mmoja, inakwenda sambamba. Tunaendelea na mradi wa JNHEPP, at the same time tunandeleza mradi wa kuchakata gesi ya LNG, at the same time tunapunguza bei ya gesi la LPG, at the same time tunaendeleza Umeme wa upepo, Windmills, at the same time tuna endeleza umeme wa joto ardhi, Geothermal, at the same time tunaendeleza Umeme wa Nishati jadidifu kama solar energy, huku tukiendeleza mashamba ya mibono kaburi kule Kisarawe kwenye mradi wa Sun Biofuels tutengeneze biofuels.

Please take time kumsikiliza Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, hapa utanielewa

P
 
Kumbukeni pia uchaguzi ukokaribu ccm Haina uwezo majukwani kunadi sera Ila nyumbakwanyumba mnazani pesa itoke wapi makamba amelelewa na viongozi awamu ya tatu na nne. Utaratibu anaujua bunge la 2026 ndilo litakalosema ukweli kuhusu michakato yao yasasa
 
Ndugu zangu wana jamvi humu ipo tetesi inayosambaa kwa kasi kuwa kuna mradi wa kufua umeme wa thamani ya sh bilion 500 katika wizara ya nishati, mimi nimekaa nikawaza matrion yaliyotumika katika bwawa la umeme wa julias nyerere yameenda bure watanzania tumerogwa na nani mbona miradi mingi inaanzishwa ya aina moja huku mradi mwingine haujakamilika mbona pesa za wananchi zinachezewa namna hii. Watanzania siyo wajinga

Aidha mimi binafsi nasikitika kusikia hilo kwakuwa mradi mwingine bado unaangalia kwa kushupaza shingo .
Tulijua tu hili. Aliyeanzisha Stiglers alikuwa anatafuta pa kupiga tu. Kwanini akiacha mradi wa gesi ambao kwa miaka mingu tuliaminishwa ni nafu na ungezalisha Umeme mwingi hadi wa kuuza Kenya, rwanda na Uganda?
 
Niliwai sikia wazito wakisema kuna mradi wa kufua umeme wa upepo huko singida kama sikosei
 
Ukimwondoa Rais Samia sijui kama kuna mtu mwingine mwenye imani na Makamba kuhusu sekta ya nishati. Inawezekana anafanya kazi kweli kweli mbele ya macho ya Rais lakini mtaani watu walishafunga file. Rais ana wakati mgumu. tumuombee
 
Hapa uliskia vibaya na imani asilimia 100%.

Hamna kichaa duniani anae weza kuwekeza trillion karibia 6 harafu arudi kwenye gesi,
 
Taratibu mkuu, vita pumzi kwanza
Taarifa zinasambaa wapi? Source ya taarifa? Huo umeme wa billion 500 ni kupitia chanzo gani; gas? Solar? Thermal? Kwa afya yako na wanaokutegemea, punguza maumivu... Wakiamua wameamua
Dadeki wallah
 
Nchi inayumbishwa sana.. tuwaache tu waendeee kuchezea kodi zetu mpaka tutakapozinduka kutoka usingizini.
 
Ndugu zangu wana jamvi humu ipo tetesi inayosambaa kwa kasi kuwa kuna mradi wa kufua umeme wa thamani ya sh bilion 500 katika wizara ya nishati, mimi nimekaa nikawaza matrion yaliyotumika katika bwawa la umeme wa julias nyerere yameenda bure watanzania tumerogwa na nani mbona miradi mingi inaanzishwa ya aina moja huku mradi mwingine haujakamilika mbona pesa za wananchi zinachezewa namna hii. Watanzania siyo wajinga

Aidha mimi binafsi nasikitika kusikia hilo kwakuwa mradi mwingine bado unaangalia kwa kushupaza shingo .
Kaongea Samia mwenyewe akihojiwa na Tido Mhando state house Dodoma
 
Ahsante kwa taarifa, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Back
Top Bottom