Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme ukikatika kuchungulia dirishani kama kwa jirani nako umekatika.
Na ukirudi lazima kushangilia "huooooooo"
Baby mambo..?Umeme ukikatika kuchungulia dirishani kama kwa jirani nako umekatika.
Na ukirudi lazima kushangilia "huooooooo"
Huku kwetu hadi watu wazima tunayafanyasio kwamba haya ni mambo ya watoto
Poa babyboo. Miss me?Baby mambo..?
Umeme ukikatika kuchungulia dirishani kama kwa jirani nako umekatika.
Na ukirudi lazima kushangilia "huooooooo"
A lot my sweetie..😉Poa babyboo. Miss me?
Maisha ya shule yalikua raha sana, jinsi tulivyokua tunalazimishwa kusoma, utafkiri sio kwa faida yetu😂Umenikumbusha BOARDING. Umeme ukikatika tunakesha mabwenini kwa stories. Siku umeme upo Prepo mpk tulazimishwe
Me too babe, nipo nimejaa tele kama pishi la mcheleA lot my sweetie..😉
Me too babe, nipo nimejaa tele kama pishi la mchele
Ha ha!Me too babe, nipo nimejaa tele kama pishi la mchele
Ila makande nayo hua yanajua kujaa hatariKama umejaa tele, hilo la makande.
Subira yavuta heri wangu wa ubani. Usichoke kusubiriHa ha!
Mpenzi kale ka ahadi vipi Sasa..?
Unajua mtima wangu unaniuma mama!
Dah! He he..Subira yavuta heri wangu wa ubani. Usichoke kusubiri