Kuna tabia sisi kama watanzania hatuwezi kuziacha

Kuweka chumvi kwenye makopo ya dawa zilizoisha

Kuiga analolifanya mwenzio mazingira yaleyale mf kwenye biashara

Kuweka kopo la kukojolea ndani

Kupenda udaku

Kumdharau mtu mwenye kitu kidogo ilhali hauna hata kitu.
 
Hiyo Namba 4 inaitwa RAIN WATER HARVESTING.... Na China kuna short course
1:Mwanao/mdogo ako.... Ana amka saa 4 alaf unamuuliza "we hujaend shule?" wakat unamwona ndo anatoka chumban


2:kupenda sarafu za kung'aa


3:kuachiana sigara na juice


4:kukinga maji ya mvua
 
Umeme ukikatika kuchungulia dirishani kama kwa jirani nako umekatika.

Na ukirudi lazima kushangilia "huooooooo"
Mwanangu anapenda kuscream "Huoooo" kila umeme ukikatika hata kama unakua haujarudi kweli. Hua napenda majirani wanavyokimbilia kuangalia kama umeme umerudi kweli kisha wanajua kumbe dogo kawazingua.

I just imagine a look on their faces
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…