Kuna Taifa moja hapa duniani linaundwa na binadamu wa bandia

Kuna Taifa moja hapa duniani linaundwa na binadamu wa bandia

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utagundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo yao, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawewzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka, ila wanaoongoza kupaza sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)!

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu za jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa bandia zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?

Pathetic creatures!
 
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu na jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?


Pathetic!
Watu hao ni maiti, maiti zilizooza zinasubiri kunuka.

Watu hao ni hawa, wasikilize
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu na jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?


Pathetic!
Mtu fake ni shida ...ila sasa mtu aliyowaroga wananchi wa hiyo nchi amesahau aliwarogaje..kibaya zaidi wamezaliana na kubadilika mno ...kazi iko hapo.
Mme fake + Mke fake=Kizazi fake
Idadi ya watalii wanaokuja kuona maajabu ya watu fake inaongezeka maradufu.
 
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu na jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?


Pathetic!
Mtu fake ni shida ...ila sasa mtu aliyowaroga wananchi wa hiyo nchi amesahau aliwarogaje..kibaya zaidi wamezaliana na kubadilika mno ...kazi iko hapo.
Mme fake + Mke fake=Kizazi fake
Idadi ya watalii wanaokuja kuona maajabu ya watu fake inaongezeka maradufu.
 
Mtu fake ni shida ...ila sasa mtu aliyowaroga wananchi wa hiyo nchi amesahau aliwarogaje..kibaya zaidi wamezaliana na kubadilika mno ...kazi iko hapo.
Mme fake + Mke fake=Kizazi fake
Idadi ya watalii wanaokuja kuona maajabu ya watu fake inaongezeka maradufu.
Hopeless Nation!
 
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu na jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?


Pathetic!
bila shaka ni sisi ila sisi ni vilaza kwei,tukila tukashiba hatuna tena tunaloweza fikiri sana sana pombe na zinaa tu...Mungu anusuru vizazi vyetu maana sisi tuliopo ni bure kabisaaa
 
B
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu za jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?


Pathetic!
Binadamu wabandia nikadhani maZombie, nikaona ngoja niikalie nistaajabu! Kumbe unaniongelea 'mimi'!
 
Ukisoma comments nyingi kwenye huu uzi,utafikiri wanaochangia hii mada ni raia ambao wao wanatoka kwenye taifa lingine kabisa na sio taifa analoliongelea mleta mada,

Kila mtu nae anawalalamikia wenzake! Hata mleta mada nae anawalalamikia wenzake!

😀 😀
 
Nadhani ni taifa la Uzbekistan! Kiongozi wa taifa hilo amewahi dhihakiwa na mwenzake kwamba anaongoza maiti! Kweli, raia wa nchi hiyo walishakufa zamani!
 
Sitalitaja hilo Taifa lakini kila mwenye akili na mfuatiliaji wa mambo atalibaini na zaid atanielewa japo inaumiza.

Bidhaa bandia siku zote hufanana na bidha halisi ila kwenye matumizi na mambo menginyo, bidhaa ya bandia hujionyresha kwani huwa zina ufanisi duni na zaid hazidumu.

Ukifanya tathimini kuhusu binadamu katika huu ulimwengu, utsgundua pia kuna taifa moja linaundwa na watu ambao akili zao na matendo, ni vya kiwango duni kuliko ilivyo kwa binadamu halisi kwa jinsi wanavyo behave( kichwani ni kama wamejaa kamasi badala ya ubongo).

Katika hilo Taifa, watawala wanaweza kufanya mambo ya hovyo kupindukia lakini kamwe watu katika hilo Taifa hawawzi kuungana kuwapinga watawala.

Binadamu halisi wachache wakijitolea kuwaeleza mabaya ya watawala, wataishia kubezwa na hata wakipigwa na kuwekwa ndani, watu feki katika Taifa hilo hawana habari wako busy na mambo ya mpira, udaku na mengineo ya aina hiyo.

Binadamu hawa feki utawaikia wakisema, "mimi sifuatili siasa, niandamane ili nini, n.k". Cha ajabu, kila siku utawasikia wanalia maisha magumu, tozo zimezidi, n
K.

Katika Taifa hilo, hata watawala wakiuza ardhi kwa wageni, kamwe hao raia hawawezi kuungana kuwapinga watawala.

Katika Taifa hilo, hivi sasa kuna watu wa jamii fulani wananyanyaswa lakini binadamu hao feki kila mtu yuko busy na maisha yake na ya familia yake.

Kibaya zaidi, hata wale wachache wenye akili, wanapopaza sauti, ungwaji mkono ni wa kiwango cha chini sana utadhani wanaotendewa huo uovu ni mifugo au wanyama wa porini.

Raia hawajali, media zimejaa woga, wanaojaribu kupaza sauti wanajikuta peke yao na zaid wanaishia kubezwa.

Ukitaka kujia Taifa hilo llimejaa fake human beings, ni pale ambapo kuna tukio moja la ukatili wa kijinsia limetendeka.ila wanaoongoza kupazs sauti ni watu wa jinsi tofauti huku walioshika madaraka ndio wenye jinsia iliyoathirika ila hawana habari (kimya kabisa)

Mambo ya hovyo ni mengi na huwa najiuliza sijui mpaka nini kitokee ndio watu katika hilo Taifa labda watashituka na kubadilika. .

Sifa kuu za jumla kwa watu wa hilo Taifa ni hizi:
1. Ubinafsi
2. Uoga
3. Unafiki
4. Kujipendekeza(uchawa).

Huenda hata bidhaa zina nafuu kuliko hawa binadamu fake!

Unajiuliza watu hawa wanapata wapi uhalali wa kuzaliana wakati hawajali future ya watoto na wajukuu zao?

Pathetic!
Walilogwa na Babu aitwaye NYENYERE na mwege wa uhuru!
 
Back
Top Bottom