A
Anonymous
Guest
Naomba Serikali isiendelee kufumba macho na kushindwa kutatua tatizo hili ambalo linaweza kupelekea vifo huko mbele.
Mtaa wa La Leo kuna barabara ambayo Ina sehemu ya kuvuka kwenda Tandika
Barabara hii imekuwa kero sana na ajali zimekuwa zikitokea Mara Kwa Mara .
Naomba serikali waweke Matuta na pia waweke zebra crossing.
Tofauti na hapo tutegemee Ajari nyingi kutokea siku zijazo.
Mtaa wa La Leo kuna barabara ambayo Ina sehemu ya kuvuka kwenda Tandika
Barabara hii imekuwa kero sana na ajali zimekuwa zikitokea Mara Kwa Mara .
Naomba serikali waweke Matuta na pia waweke zebra crossing.
Tofauti na hapo tutegemee Ajari nyingi kutokea siku zijazo.