Kuna tatizo linawasumbua wanawake baadhi, wanapata hedhi isiyokoma

Kuna tatizo linawasumbua wanawake baadhi, wanapata hedhi isiyokoma

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Kwanza kabisa naomba niseme sijaripoti kwenye mamlaka zinazohusika sababu hawatalichukulia kwa uzito ama watachelewa kupata data tofauti na nikipost kwenye social media platforms kama hii data zitapatikana kwa urahisi zaidi na wahusika watalichukulia kwa uzito.

Kuanzia mwezi wa nne mwishoni nimekutana na wanawake kadhaa ambao wanalalamika wanatokwa na damu zisizokata baada ya kupata siku zao. Wengine wameingia kwenye siku zao tarehe ambazo sio tarajiwa, lakini nao wameendelea kupata bleeding isiyokata.

Kuna wanawake wengine wawili ambao walikuwa na mimba changa, nao wamepatwa na hili tatizo, mmoja alienda hospitali wakamwambia mimba imeshaharibika, mwingine alienda hospitali baada ya kupata bleeding non-stop kwa siku 7 lakini bahati nzuri mimba ikawa haijaharibika. Wote hawa walikuwa na mimba changa za chini ya miezi 2 ambapo hata kliniki hawajaanza.

Huko mahospitalini pia kuna cases kadhaa za namna hii, ambazo zina ufanano uleule wa kubleed non stop, wengine mimba zinakuwa zimeshaharibika, wengine Mungu saidia zinakuwa ziko salama.

Hii ni observation yangu kwa mkoa wa Dar sijajua mikoa mingine hali ikoje. Kwa vyovyote vile kuna kitu hakiko sawa na kinahitaji thorough investigations.

Wahusika kazi kwenu.

Screenshot_20210520-100652.jpg
 
Ni kweli sijajua tatizo nini kwa sababu hata mimi ninae dada ambae amekuwa akipata hili tatizo. Labda matumizi ya contraceptives not sure though!!
 
That’s too little to generalize that all women residing in Dar have this issue.! Watu kubleed kuna mambo mengi sana Mkuu. Ili mamlaka zione kuna hilo tatizo na nikubwa kiasi hicho njoo sample za namna hiyo kama 80 hivi. However, Magonjwa ya namna hii yanekuwa yakisababishwa na mambo kadha wa kadha ikiwemo.

1. Matumizi wa Dawa za uzazi wa Mpango mwa muda mrefu a.k.a COC and their like including the Morning After pills a.k.a P2.

2. Climatic changes, this has been impacting our daily life through inducing genomic alterations ambayo baadhi ya mambo yanaweza yakawa haya.

3. Foods.. vyakula vingi siku hizi ni GMOs, na dawa zinazotumika huku kukuza hawa viumbe tunaokula kama vile Kuku na Mimea yenyewe inaleta mambo mengi.

Ahsante kwa taarifa mkuu, ila hili sio jambo la dar es salaam au Tanzania kiujumla, it has gone worldwide ila linatibika na Maisha yanaendelea kama kawaida
 
Kwanza kabisa naomba niseme sijaripoti kwenye mamlaka zinazohusika sababu hawatalichukulia kwa uzito ama watachelewa kupata data tofauti na nikipost kwenye social media platforms kama hii data zitapatikana kwa urahisi zaidi na wahusika watalichukulia kwa uzito.

Kuanzia mwezi wa nne mwishoni nimekutana na wanawake kadhaa ambao wanalalamika wanatokwa na damu zisizokata baada ya kupata siku zao. Wengine wameingia kwenye siku zao tarehe ambazo sio tarajiwa, lakini nao wameendelea kupata bleeding isiyokata.

Kuna wanawake wengine wawili ambao walikuwa na mimba changa, nao wamepatwa na hili tatizo, mmoja alienda hospitali wakamwambia mimba imeshaharibika, mwingine alienda hospitali baada ya kupata bleeding non-stop kwa siku 7 lakini bahati nzuri mimba ikawa haijaharibika. Wote hawa walikuwa na mimba changa za chini ya miezi 2 ambapo hata kliniki hawajaanza.

Huko mahospitalini pia kuna cases kadhaa za namna hii, ambazo zina ufanano uleule wa kubleed non stop, wengine mimba zinakuwa zimeshaharibika, wengine Mungu saidia zinakuwa ziko salama.

Hii ni observation yangu kwa mkoa wa Dar sijajua mikoa mingine hali ikoje. Kwa vyovyote vile kuna kitu hakiko sawa na kinahitaji thorough investigations.

Wahusika kazi kwenu.

View attachment 1791508
Tatizo liko hapa:-Matumizi wa Dawa za uzazi wa Mpango mwa muda mrefu a.k.a COC and their like including the Morning After pills a.k.a P2
 
That’s too little to generalize that all women residing in Dar have this issue.! Watu kubleed kuna mambo mengi sana Mkuu. Ili mamlaka zione kuna hilo tatizo na nikubwa kiasi hicho njoo sample za namna hiyo kama 80 hivi. However, Magonjwa ya namna hii yanekuwa yakisababishwa na mambo kadha wa kadha ikiwemo
1. Matumizi wa Dawa za uzazi wa Mpango mwa muda mrefu a.k.a COC and their like including the Morning After pills a.k.a P2
2. Climatic changes, this has been impacting our daily life through inducing genomic alterations ambayo baadhi ya mambo yanaweza yakawa haya
3. Foods.. vyakula vingi siku hizi ni GMOs, na dawa zinazotumika huku kukuza hawa viumbe tunaokula kama vile Kuku na Mimea yenyewe inaleta mambo mengi.

Ahsante kwa taarifa mkuu, ila hili sio jambo la dar es salaam au Tanzania kiujumla, it has gone worldwide ila linatibika na Maisha yanaendelea kama kawaida
Why iwe sample size ya 80? Pita hospitali 5 tuu za Dar uchukue statistics utapata namba kubwa zaidi ya hii.
 
Umetumia dawa ya uzazi wa mpango wakati huna hata ukucha wa mtoto iweje
 
Tatizo liko hapa:-Matumizi wa Dawa za uzazi wa Mpango mwa muda mrefu a.k.a COC and their like including the Morning After pills a.k.a P2
Ninaposema kuna shida mahali sio kwamba sijawauliza maswali ya namna hii.

Wengi hawatumii na wala hawajawahi tumia COC.
 
Kwanza kabisa naomba niseme sijaripoti kwenye mamlaka zinazohusika sababu hawatalichukulia kwa uzito ama watachelewa kupata data tofauti na nikipost kwenye social media platforms kama hii data zitapatikana kwa urahisi zaidi na wahusika watalichukulia kwa uzito.

Kuanzia mwezi wa nne mwishoni nimekutana na wanawake kadhaa ambao wanalalamika wanatokwa na damu zisizokata baada ya kupata siku zao. Wengine wameingia kwenye siku zao tarehe ambazo sio tarajiwa, lakini nao wameendelea kupata bleeding isiyokata.

Kuna wanawake wengine wawili ambao walikuwa na mimba changa, nao wamepatwa na hili tatizo, mmoja alienda hospitali wakamwambia mimba imeshaharibika, mwingine alienda hospitali baada ya kupata bleeding non-stop kwa siku 7 lakini bahati nzuri mimba ikawa haijaharibika. Wote hawa walikuwa na mimba changa za chini ya miezi 2 ambapo hata kliniki hawajaanza.

Huko mahospitalini pia kuna cases kadhaa za namna hii, ambazo zina ufanano uleule wa kubleed non stop, wengine mimba zinakuwa zimeshaharibika, wengine Mungu saidia zinakuwa ziko salama.

Hii ni observation yangu kwa mkoa wa Dar sijajua mikoa mingine hali ikoje. Kwa vyovyote vile kuna kitu hakiko sawa na kinahitaji thorough investigations.

Wahusika kazi kwenu.

View attachment 1791508
Tatizo wanacheza rough sana na viungo vyao lazima zireflect kwa namna moja au nyingine.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi nilipata hii hali..nikaenda Kahama hosp...Dk akaniambia kwa wiki hili ww ni mtu wa 6 kuja ..akawa naye anashangaa .lakini akasema ni hormonal imbalance ..kubadilisha mazingira sijui mara misosi..thou nilipona!.na sijawah tumia contraceptives yyt..nadhan na misos tunayokula...sikua nimekula mboga za majani zaidi ya 5mths ..dah🙌
 
Why iwe sample size ya 80? Pita hospitali 5 tuu za Dar uchukue statistics utapata namba kubwa zaidi ya hii.

I just mentioned 80, just to show that there is a need to come up with a definite number of cases reported if possible. The government is too busy dealing with COVID right now, so kwa hizo data zako hautapewa attenion mzee.
 
sababu nyingine ni kuwa walio wengi wanaugua magonjwa ya zinaa kama vile, Gonoria na kaswende na hata UKIMWI.

Poleni sana kwa wale wanao sumbuliwa na magonjwa ya zinaa,
ushauri wangu ni kwamaba; ni vyema mkaenda kupoma gonoria na kaswende na pia ukimwi ili muanze kutumia dawa.
 
Ninaposema kuna shida mahali sio kwamba sijawauliza maswali ya namna hii.
Wengi hawatumii na wala hawajawahi tumia COC.
Acha wenyewe waseme, mm nina wake wawili na michepuko wawili jumla wapo wanne HAWAJASEMA na sasa nawauliza, wananihoji nataka mtoto? wapo fresh kabisa ni suala la mm kukubali majukumu na nina watoto 8
hili suala waachie wakubwa na haswa wenyewe kwani haijaanza leo
 
Speed ya matumizi ya P2 ni kubwa sana.
Mungu awasaidie kina Dada.
Tatizo ni kile kiyoyozi cha kileleni, kinawasukuma kukiendea kila Mara hatimaye wanaangukia kwenye P2
 
Tatizo liko hapa:-Matumizi wa Dawa za uzazi wa Mpango mwa muda mrefu a.k.a COC and their like including the Morning After pills a.k.a P2
Kuna mdada jamaa yangu mwezi 3 sasa anateseka na hajawahi tumia hizo dawa!! Alipoenda hospitali kapewa hizo dawa za mpango, wamemwambia ndio zitasaidia kurekebisha hormones!!! Wataalamu msaada wenu unahitajika!!
 
Nilisoma mahali, mwanamke akiwa na hilo tatizo la kutoka damu muda mrefu ni kutokana na ukuta wa mji wa mimba unabomoka taratibu sana na kufanya siku za ukuta huo kubomoka kuwa nyingi.

Kufanya mapenzi akiwa kwenye hizo siku husaidia sana kupunguza au kuondoa kabisa hilo tatizo.
 
Hapo kwenye P2 nina doubt. Mabinti wengi nowadays wanatumia vidonge vya uzazi.
 
Back
Top Bottom