Kuna tatizo lolote na kujiregister tcu!?

mohammad_othar

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
247
Reaction score
42
Mi nimemaliza kidato cha sita na nime jaribu kuregister kwa kujaza kila kinachohitajika katika page ua CAS lakini napata error ambayo inasema your A level index number is not in our records je kuna tatizo gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…