mohammad_othar JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 247 Reaction score 42 Jun 1, 2013 #1 Mi nimemaliza kidato cha sita na nime jaribu kuregister kwa kujaza kila kinachohitajika katika page ua CAS lakini napata error ambayo inasema your A level index number is not in our records je kuna tatizo gani ?
Mi nimemaliza kidato cha sita na nime jaribu kuregister kwa kujaza kila kinachohitajika katika page ua CAS lakini napata error ambayo inasema your A level index number is not in our records je kuna tatizo gani ?