Kuna tatizo PSSSF Arusha(Public Service Social Security Fund)

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Binafsi sipendagi kuandika mambo yanahusiana na changamoto za serikali kwasababu watu hata hawafukuzwi kazi hata kama kweli tuhuma ni za kweli.

Ila kwasababu sisi ni wanaharakati hatuwezi choka kuongea mawili matatu,kusema kero,changamoto,ugandamizaji n.k ni chakula chetu ni diety,usipofanya hivyo nafsi inaangaika na kukushitaki.

Anyway,ipo hivi pale PSSSF Arusha kunajambo ambalo limeumiza sana binafsi mpaka machozi yalinitoka sereous.

Kuna swala la watumishi kama wawili waliostaafu wakafa wakafariki pasipo kulipwa kiinua mgongo chao,walifuatilia mpaka viatu walionunulia mshahara wao wa mwisho vikaisha,mmoja alikuwa mwalimu na alikuwa na mkono mmoja,image maisha yake alikuwa akifundisha kwa kutumia mkono mmoja then amestahafu kafuatilia kiinua mgongo na akafa hajapata chake.

Wale jamaa hivi wanajiona wao ni nani katika dunia hii,alafu unaskia sasa hivi tunafanyakazi kidigitali,digitali my foot..mtu mweusi mimi simpendi jamani..natamani ngazi zote nyeti washikilie wazungu,waafrika bado na sio watu wakuaminiwa ni waaribifu wa maisha ya watu siwapendi siwapendi siwapendi ni watu wabaya,wamefanya afrika kuzimu.

Kuna mtu niikutana naye akaniambia tokea mwezi wa saba mwezi huu ameleka requirements zote za madai yake,mpaka sasa hana dalili ya kulipwa,ameamua aendelee na shughuli zake kwasababu wale jamaa wankiburi na dharau kiwango cha lami.

Nashauri serikali hawa watu waamishe panga pangua, maana najua hamuwezi kuwafukuza kazi,peleka namtumbo,mwingine Lindi,mwingine ashushe cheo awe dereva wa masafa marefu kama inawezekana.
 
Miaka mingi iliyopita Kuna dogo mmoja kwa kujua au kuto kujua ilikua private sector walikuja watu wa NSSF kutoa ELIMU.

Dogo akawaambia Mimi NSSF YANGU ni TIGO PESA au M_PESA YANGU.

Mwisho wa kunukuu sijui dogo aliwaza Nini? Sijajua mpaka Leo aliwazaga Nini yule bwana mdogo.
 
Huyo dogo yupo sahihi na amebeba majibu sahihi ya watu wengi..hao jamaa ni kama manyamera..pesa umetafuta kwa jasho lako then wakati wakuchukua unazungushwa mpaka unakufa..huo si ujambazi kama ujambazi mwingine tu
 
Huyo dogo yupo sahihi na amebeba majibu sahihi ya watu wengi..hao jamaa ni kama manyamera..pesa umetafuta kwa jasho lako then wakati wakuchukua unazungushwa mpaka unakufa..huo si ujambazi kama ujambazi mwingine tu
Ni kweli mbaya zaid mtu katimiza VIGEZO na qualifications zao zoteee kupatiwa pesa yake.
 
Muafrika ni yupo tayari achelewesha utaratibu fulani ili aendelee kiwaumiza watu..ndio nature yao
 
Dhuluma dhuluma dhuluma. Hawa si binaadamu. Fikiria mtu katoa jasho lake miaka na miaka Kisha anastasfu, kusimamisha mshahara wake mfumo wa serikali unafanya kazi bila taabu na hapati mshahara Tena, Ngoma inakuja mkufuatilia haki zake za mafao.
Kwa Nini mfumo usiwe automatic mtu anastasfu kabla ya miezi sita anatumiwa statement ya hesabu kamili za mafao yake na kulipwa mara anapo staafu.
Serikali pia inahusika kikamilifu na hizi dhuluma lasivyo ingeisha fanyia kazi hili tatizo.
 
Bora wazungu warudi watawale tu..itakuwa vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…