KUNA TETESI WAKOLONI WA KIJERUUMANI WALIKUWA WAKOROFI KUZIDI WAINGEREZA, NI KWELI?

KUNA TETESI WAKOLONI WA KIJERUUMANI WALIKUWA WAKOROFI KUZIDI WAINGEREZA, NI KWELI?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1640023398355.png


Hao wajerumani kuna stori zao kwamba walikuwa ni wakorofi sana enzi hizo hapa ni koloni lao.

je pana ukweli au ni story
 
Mfumo wa utawala walioutumia ndiyo ulifanya wajerumani waonekane makatili sana.

Mjerumani alipokuja kuitawala Tanganyika alitumia Mfumo wa "Direct rule" tofauti na Muingereza aliyetumia "Indirect rule".

Mfano wa mjerumani aliyekuwa hatari sana alikuwa anaitwa Karl Peters alias "Mkono wa damu".

Harafu pia, Mjerumani alipewa(aliichukua) Tanganyika kama coloni lake, tofauti na Mwingereza aliyepewa Tanganyika kuisimamia tu mpaka pale itakapopata uhuru wake(Wao wanasema mpaka pale itakapoweza(Tanganyika) kujiendesha yenyewe). Hii kusema Muingereza alikuwa ni Msimamizi tu wa Tanganyika. Mfano, Muingereza alipoulizwa Mbona unatumia nguvu Tanganyika wakati wewe ni msimamizi tu alijbu jibu jepesi kabisa na kusema "Nature na watu wa Tanzania bila nguvu hawaendi" (True story)
 
Mfumo wa utawala walioutumia ndiyo ulifanya wajerumani waonekane makatili sana.

Mjerumani alipokuja kuitawala Tanganyika alitumia Mfumo wa "Direct rule" tofauti na Muingereza aliyetumia "Indirect rule".

Mfano wa mjerumani aliyekuwa hatari sana alikuwa anaitwa Karl Peters alias "Mkono wa damu".

Harafu pia, Mjerumani alipewa(aliichukua) Tanganyika kama coloni lake, tofauti na Mwingereza aliyepewa Tanganyika kuisimamia tu mpaka pale itakapopata uhuru wake(Wao wanasema mpaka pale itakapoweza(Tanganyika) kujiendesha yenyewe). Hii kusema Muingereza alikuwa ni Msimamizi tu wa Tanganyika. Mfano, Muingereza alipoulizwa Mbona unatumia nguvu Tanganyika wakati wewe ni msimamizi tu alijbu jibu jepesi kabisa na kusema "Nature na watu wa Tanzania bila nguvu hawaendi" (True story)
...nature ya watu wa Tanganyika bila nguvu hawaendi......

hii ni kweli kabisa.
 
Wa Getmani washenzi waliwanyonga ma Mangi wa kichaga hadharani, tena baadhi ya ma governor walikuwa wakorofi wanachapa watu viboko hadharani bila aibu, ingawa Wa German ndio waliitetea Tanganyika isingekuwa vita vya dunia mpaka Leo Rwanda na Burundi ingekuwa part ya Tanganyika a.k. a Germany East Africa tungekuwa mbali sana
 
View attachment 2051640

Hao wajerumani kuna stori zao kwamba walikuwa ni wakorofi sana enzi hizo hapa ni koloni lao.

je pana ukweli au ni story
Mwingereza alikuwa mwema kuliko CCM, hakuwahi kuzuia watanganyika kufanya mikutano ya siasa na walimsaidia Nyerere kupata Uhuru, hawa hawakuwa watawala kama walivyo CCM, CCM ni watawala na walisema watatawala kwa zaidi ya miaka 80 ijayo!
 
Wa Getmani washenzi waliwanyonga ma Mangi wa kichaga hadharani, tena baadhi ya ma governor walikuwa wakorofi wanachapa watu viboko hadharani bila aibu, ingawa Wa German ndio waliitetea Tanganyika isingekuwa vita vya dunia mpaka Leo Rwanda na Burundi ingekuwa part ya Tanganyika a.k. a Germany East Africa tungekuwa mbali sana
kama afrika kusini lakini
 
Back
Top Bottom