Je, ni kweli wawakilishi wetu wapo kimaslahi ya nchi? KIA ipo, JKIA ipo, SGR hiyo inakuja.
Umataifa wa uwanja wa Msalato kujengwa kwa haraka huku watu wanakosa huduma za maji. Faida yake ni mini? Sifa.
Leteni kwanza faida za mbuga ya Chato.
Leteni faida za Tanzanite ya baharini.
Wabunge, hakuna vipaumbele?
Watoto hawana madawati, miaka 60 mnaongelea maji na upembuzi wakati mito imejaa vijijini huko.
MNATUCHOSHA SANA
Umataifa wa uwanja wa Msalato kujengwa kwa haraka huku watu wanakosa huduma za maji. Faida yake ni mini? Sifa.
Leteni kwanza faida za mbuga ya Chato.
Leteni faida za Tanzanite ya baharini.
Wabunge, hakuna vipaumbele?
Watoto hawana madawati, miaka 60 mnaongelea maji na upembuzi wakati mito imejaa vijijini huko.
MNATUCHOSHA SANA