OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakuu kama mnavyokumbuka jana kwa taaaabu sana Azam FC waliishinda Simba SC na kuchukua kombe la Mapinduzi
Sasa tujadili yaliyojiri wakati wa mashindano.Mimi ningependa kujua kama kuna timu iliyopukuchuliwa goli nyingi zaidi ya Yanga.Yanga iliishangaza Zanzibar kwa kudokolewa goli 8 ndani ya siku 5. Kiasi kwamba siku ya nusu fainali walikimbia na kupotea ghafla kama msichana aliyebakwa kwa kutaka mwenyewe
Simba ambayo licha ya kuonyesha kabumbu safi haikufanikiwa kuchukua kombe lakini ni timu iliyoacha gumzo Visiwani.
SWALI LA KIZUSHI
Inawezekanaje gemu wapige wengine kileleni afike mpiga chabo? Yanga bana
Sasa tujadili yaliyojiri wakati wa mashindano.Mimi ningependa kujua kama kuna timu iliyopukuchuliwa goli nyingi zaidi ya Yanga.Yanga iliishangaza Zanzibar kwa kudokolewa goli 8 ndani ya siku 5. Kiasi kwamba siku ya nusu fainali walikimbia na kupotea ghafla kama msichana aliyebakwa kwa kutaka mwenyewe
Simba ambayo licha ya kuonyesha kabumbu safi haikufanikiwa kuchukua kombe lakini ni timu iliyoacha gumzo Visiwani.
SWALI LA KIZUSHI
Inawezekanaje gemu wapige wengine kileleni afike mpiga chabo? Yanga bana