Kuna timu iliyogongwa goli nyingi zaidi ya Yanga kwenye michuano ya Mapinduzi Cup?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakuu kama mnavyokumbuka jana kwa taaaabu sana Azam FC waliishinda Simba SC na kuchukua kombe la Mapinduzi

Sasa tujadili yaliyojiri wakati wa mashindano.Mimi ningependa kujua kama kuna timu iliyopukuchuliwa goli nyingi zaidi ya Yanga.Yanga iliishangaza Zanzibar kwa kudokolewa goli 8 ndani ya siku 5. Kiasi kwamba siku ya nusu fainali walikimbia na kupotea ghafla kama msichana aliyebakwa kwa kutaka mwenyewe

Simba ambayo licha ya kuonyesha kabumbu safi haikufanikiwa kuchukua kombe lakini ni timu iliyoacha gumzo Visiwani.

SWALI LA KIZUSHI
Inawezekanaje gemu wapige wengine kileleni afike mpiga chabo? Yanga bana
 
We mwansport wa wapi unahesabu hadi goli za penalt shout outs? Me nawashangaa wanaoleta ushabiki eti simba kampiga yanga 4, penalties zile ni process ya kumtafuta mshindi baada ya kushindwa kufungana kwa muda wa kawaida. Wanaosena yanga kafungwa goli nyingi zaidi wanakosea, hatuhesabu goli za kipindi cha penati.
 
[HASHTAG]#Yako[/HASHTAG] yanakushinda kaz kuchunguza yawatu, ebu tuaje ushabk wakijinga, mbona cc tupo kmya hatutaki shoba namtu,kimoja kinakuwasha nn? hag hag haaahaa!
 
Hata ukiyaambia hayakuelewi hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…