Kuna tofaut ya neno SUBIRA na ------?

Mods wetu watata... kuna majina ya watu na makabila wameyafany kuwa taboo words. kama masabu.ri na mk.were

Hata mimi nashangaa kwani s.a.b.u.ri sasa lina tatizo gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…