Kuna tofauti gan kati ya sheria na amri?

Tofautisha usingizi na kifo kwanza
 
Lazim kutakuwa na tofauti kati ya sheria na amri kama ipo karb kwa msaada wenu

Sheria ni mfumo na taratibu zilizotungwa maalum kurahisisha mfumo wa utawala,kwenye kada yoyote wakati amri ni hali ya kulazimisha kufanyika jambo kwa njia ya karipio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…