V Vitta bukelebe New Member Joined Apr 15, 2015 Posts 4 Reaction score 1 Apr 21, 2015 #1 Lazim kutakuwa na tofauti kati ya sheria na amri kama ipo karb kwa msaada wenu
Emma. JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 19,932 Reaction score 5,563 Apr 21, 2015 #2 Tofautisha usingizi na kifo kwanza
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,403 Reaction score 12,775 Apr 21, 2015 #3 Vitta bukelebe said: Lazim kutakuwa na tofauti kati ya sheria na amri kama ipo karb kwa msaada wenu Click to expand... Sheria ni mfumo na taratibu zilizotungwa maalum kurahisisha mfumo wa utawala,kwenye kada yoyote wakati amri ni hali ya kulazimisha kufanyika jambo kwa njia ya karipio!
Vitta bukelebe said: Lazim kutakuwa na tofauti kati ya sheria na amri kama ipo karb kwa msaada wenu Click to expand... Sheria ni mfumo na taratibu zilizotungwa maalum kurahisisha mfumo wa utawala,kwenye kada yoyote wakati amri ni hali ya kulazimisha kufanyika jambo kwa njia ya karipio!