Kuna tofauti gani kati ya kaptura, bukta na pensi?

Mimi binafsi nimekulewa mkuu!
Kama kuna mtu hajakuelewa bila shaka atakuwa na matatizo yake binafsi.
 
Kaptura ni neno la kikurya ambalo kiswahili chake ni Kaptula,Bukta ni kama anayovaa Christiano Ronaldo akiwa uwanjani, Pensi wanavaa masharobaro...
 
Bukta nguo fupi ya kiume ,aghalabu yatumiwa kwenye michezo na kujisitiri maungo ya ndani.
Kaptula suruali mkato ya kitambaa laini iliyokatwa magotin na kupindwa kwa mkono .
Pensi kitambaa kigumu ama kisicholaini aghalabu jeans ama kadet iliyoshonwa kitaalam kuiishia magotin .
Upo baharia.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…