Habari wana JF?
Minimgeni ktk hili jukwaa naomba mnipoke kwa mikono miwili nami nijifunze na kuhabarika humu JF.
Hivi kuna tofauti gani kati ya haya maneno mawili "AJIRA(EMPLOYMENT)" na "KAZI(JOB)".
Ajira inatokana na neno Ujira... so hii lazima kuwe na makubaliano ya malipo, sio lazima malipo yawe ni fedha yanaweza kuwa katika mfumo mwingine.
wakati kazi (Job) inaweza isiwe na mlipo.. kwa mtazamo wangu..