King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Habari za kushinda wakuu?
Naomba kufahamishwa/kujulishwa tofauti iliyopo kati ya magari ya kuagiza nje ya nchi kwa mfano Japan, korea nk na yale yanayouzwa hapa nchini, unakuta mtu amefungua yard yake anauza magari ambayo ni used kama yale ambayo unaweza kuagiza kupitia makampuni mbalimbali yanayohusika na uagizaji wa magari,
Kwa mtazamo wangu gari inayopatikana hapa nchini unaikagua mwenyewe ukiridhika unalipia inakuwa yako, tofauti na yale ya kuagiza ambayo unaikagua kupitia picha au 'recorded video'
Mwenye uelewa anijuze kwa sababu naona kabisa kwa uweza wa Mungu naelekea kuwa mmoja kati ya wanaomiliki magari.
Natanguliza shukrani za dhati
Naomba kufahamishwa/kujulishwa tofauti iliyopo kati ya magari ya kuagiza nje ya nchi kwa mfano Japan, korea nk na yale yanayouzwa hapa nchini, unakuta mtu amefungua yard yake anauza magari ambayo ni used kama yale ambayo unaweza kuagiza kupitia makampuni mbalimbali yanayohusika na uagizaji wa magari,
Kwa mtazamo wangu gari inayopatikana hapa nchini unaikagua mwenyewe ukiridhika unalipia inakuwa yako, tofauti na yale ya kuagiza ambayo unaikagua kupitia picha au 'recorded video'
Mwenye uelewa anijuze kwa sababu naona kabisa kwa uweza wa Mungu naelekea kuwa mmoja kati ya wanaomiliki magari.
Natanguliza shukrani za dhati
