Kuna tofauti gani kati ya kuagiza gari nje ya nchi au kununua magari yanayouzwa 'yard' hapa nchini kwetu?

1.Sio kwa dealers wote, ila baadhi wenye yard, washe Kilometers, eg gari ilishatembea 100k km, wanashusha Hadi around 60k

2.Dealers wengi wanaagiza gari zenye dent, zilizochoka kwa bei rahisi, wanapeleka garage wanaingiza kukuuzia kwa bei kubwa.

Changamoto ya kuagiza ni kusubiri gari kwa muda mrefu siku 30-40 au hata 60, inategemea na upatikanaji wa meli na kusubiri ukaguzi
 
Kwa hiyo tunazopata tuzifanyie nini? Pesa ni ya kutumia
 
Kwa hiyo tunazopata tuzifanyie nini? Pesa ni ya kutumia
Toyota amekuaminisha ivyo ili umpe hela wajukuu wa wajukuu zake wakute vitega uchumi wafungue viwanda zaidi kuwavutia middle class ama wajukuu zako kuwapelekea hela huku wakijinadi ivyo. Watagundua migodi zaidi na kutumia ardhi yao kwa kuwatala.
You're programmed to take pride and have feel inner arrogance to be consumer not producers.
Huwezi weka hata kiwanda cha kusindika unga wa dengu ambacho unaweza ukarithisha wajukuu zako Ila utawarithisha kazi ya Honda,Toyota ,bmw na Mercedes Benz.
Inabidi tuzitumie Mana ndio kazi yake, ngoja niamgalie ndinga ya kuvuta hapa Mana ndio kazi ya hela ,ili inipe.heshima hapa mjini hata nitaheshimika na nitaitumia kulia mbususu kirahisi mno na pia nitaacha legacy kwa kizazi changu namna niliivyoitumia iyo gari.

Of course gari inasaidia mno mizunguko ya town ama hata umepata dharura ya ghafula usiku ingawa mababu wao hawakuzipata hizi dharura za leo hii
 
Wiki iliyopita nikihudhuria harusi moja hapa kijijini kwetu. Ilikuwa umbali wa kama kilomita 4 au 3 kutoka nyumbani. Shughuli iliisha saa sita na nusu usiku, tunatoka nje wenye vigari haooo wanaondoka aisee umuhimu wa gari.
Hata hao wenye vigari (Passo, vitz, starlet nk) tunafanya nao zile zile, maisha ni yale yale
 
Mimi naomba maelezo kwa ufupi kwa Nini ego is the enemy
 
Wakati anakupa ujumbe huo alikuwa na Nini kati ya gari na usafiri?
 
Gari ni zile chuma za kuanzia m 300,400 kwenda mbele izi za ma 13-17 ndio usafiri😆😆
 
Nasoma kwa umakini comments, siku na Mimi nikitaka kuvuta chuma yangu nijue naanzia wapi.
angalau umekuwa muwazi. wengi wanatumia uzi kutujulisha walivyo na 'mandinga' yao na kukumbuka jinsi walivyoyaagiza sio kujibu takwa la mhariri. jf bhana😛😛 ye muga
 
Hahahaa utofauti kati ya Gari na Usafiri ni hivi mkuu, endesha ist,premio alafu uendeshe LC 300, Discover au VW utapata majibu kirahisi sana
 
Kwangu mimi ni gharama.

Ukiagiza kuna tumilioni unasevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…