Umuhirindahu
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 349
- 170
Jaman wana JF naomba kwa anaeelewa anisaidie kutofautisha kati ya hawala na hundi.....au yote yana maana sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAWALA ni kusafirisha fedha (transfer/remitte) na kupokewa upande wa pili.
HUNDI ni cheki (mbadala wa fedha taslimu).
pamoja tubarikiwe !Nashukuru kwa mchango wako
Nijuavyo:
Hundi= Cheque
Hawala ya fedha= Banker's payment cheque