Kuna tofauti gani Mwenyekiti wa CCM akimteua Makamu wake kisha apigiwe Kura na Mbowe kumteua Wenje kisha apigiwe Kura?

Kuna tofauti gani Mwenyekiti wa CCM akimteua Makamu wake kisha apigiwe Kura na Mbowe kumteua Wenje kisha apigiwe Kura?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
CCM inatumia Akili kubwa, inajua Mwenyekiti wake ni Rais wa JMT mwenye majukumu chungu nzima ya kiserikali hivyo ni Busara Yeye mwenyewe ateue Msaidizi wake kisha Mkutano mkuu umfanyie usahili

Hii inaepusha watu kuvunjiana Heshima kama huko Chadema yule mbobezi Wenje alivyowavuruga hadi Mwenyekiti anashindwa kwenda Kanisani Kwa Mitusi anayotukanwa mitandaoni

CCM hoyee😂

Hapa Dodoma CCM wanamtaka Wenje aongoze Chadema 😄😄🐼
 
CCM inatumia Akili kubwa, inajua Mwenyekiti wake ni Rais wa JMT mwenye majukumu chungu nzima ya kiserikali hivyo ni Busara Yeye mwenyewe ateue Msaidizi wake kisha Mkutano mkuu umfanyie usahili

Hii inaepusha watu kuvunjiana Heshima kama huko Chadema yule mbobezi Wenje alivyowavuruga hadi Mwenyekiti anashindwa kwenda Kanisani Kwa Mitusi anayotukanwa mitandaoni

CCM hoyee😂

Hapa Dodoma CCM wanamtaka Wenje aongoze Chadema 😄😄🐼
Kama Chadema tuna upuuzi mwingi basi wewe una usenge mwingi sana. Unapata wapi nguvu ya kutuita mamilioni ya watu wapuuzi na mods wanakuchekea tu. Koma kabisa hangaikeni kuburuzwa na huyo mkojani wenu,pumbavu kabisa wewe.
 
CCM inatumia Akili kubwa, inajua Mwenyekiti wake ni Rais wa JMT mwenye majukumu chungu nzima ya kiserikali hivyo ni Busara Yeye mwenyewe ateue Msaidizi wake kisha Mkutano mkuu umfanyie usahili

Hii inaepusha watu kuvunjiana Heshima kama huko Chadema yule mbobezi Wenje alivyowavuruga hadi Mwenyekiti anashindwa kwenda Kanisani Kwa Mitusi anayotukanwa mitandaoni

CCM hoyee😂

Hapa Dodoma CCM wanamtaka Wenje aongoze Chadema 😄😄🐼
Duuh! hatari kweli kweli. Yaani Wenje ndo aiongoze CHADEMA!!!
 
Back
Top Bottom