johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kupiga kura Kisiasa ni zoezi la kumuweka mtu au Kikundi Cha watu madarakani bila kujali kama Wana sifa ama la
Kupiga kura mtu anashawishiwa na Vionjo mbali mbali mfano Rushwa, Ulaghai, Dhulma na Utapeli
Lakini Kuchagua Kiongozi ni zoezi la kumchagua Mtu mwenye Sifa, Vigezo na karama ya Uongozi katika kuwavusha wale wenye " Imani" na Kuongozwa naye
Usisahau, unaweza kupiga kura Lakini Usichague
Mungu wa Mbinguni Aibariki Jumatano Yako 😀😀
Kupiga kura mtu anashawishiwa na Vionjo mbali mbali mfano Rushwa, Ulaghai, Dhulma na Utapeli
Lakini Kuchagua Kiongozi ni zoezi la kumchagua Mtu mwenye Sifa, Vigezo na karama ya Uongozi katika kuwavusha wale wenye " Imani" na Kuongozwa naye
Usisahau, unaweza kupiga kura Lakini Usichague
Mungu wa Mbinguni Aibariki Jumatano Yako 😀😀