Kuna tofauti kati ya kusajili kampuni na jina la biashara?

Kuna tofauti kati ya kusajili kampuni na jina la biashara?

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Habari Wanaohusika!!

Nilikua naongea na business partner wangu kuhusu kuwa official kibiashara nikamwambia tusajili kampuni,yeye akasema kwa nn tusisajili jina la biashara??

Sasa nashindwa kuelewa tofauti zake pia faida na hasara za kufanya biashara na kampuni na kufanya biashara na jina la biashara.

Asanteni kwa mawazo yenu.
 
Yeah mkubwa ni vitu viwili tofauti unaweza ikasajili jina tu,ukawa unalipia kodi usajili,tofauti ni kwamba mali zinabaki kuwa mikononi mwa partners wenyewe wakati mkisajili kampuni inakuwa ni mali ya kampuni,
Nakushauri kama partnership yenu itadumu kwa mda mrefu go for a company,hii ni security purpose ya mchango wako na wake kwenye kampuni.
 
Yeah mkubwa ni vitu viwili tofauti unaweza ikasajili jina tu,ukawa unalipia kodi usajili,tofauti ni kwamba mali zinabaki kuwa mikononi mwa partners wenyewe wakati mkisajili kampuni inakuwa ni mali ya kampuni,
Nakushauri kama partnership yenu itadumu kwa mda mrefu go for a company,hii ni security purpose ya mchango wako na wake kwenye kampuni.

Asante bro kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom