BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Umesema vyema!Sema Omari ana sifa sana na majigambo,. Mondi sio saizi yake kutaka kushindana nae ilitakiwa ajifunze kutoka kwake,. mwenzie ana mda mrefu kwenye tasnia
Inaimba vizuri hatukatai,. Sema ana mdomo sana na nyimbo zake zinahit kibongo bongo tofauti na mwenzie anaenda kimataifa sikuizi,.Umesema vyema!
Kama alivyosema 2023 hakuna msanii aliyetoa ngoma kali kumzidi kitu ambacho sio kweli!
Ume zunguka weee mwishon ndo ume funguka ukwel wako π€£π€£π€£π€£Video kuwa na budget kubwa haimaanishi kuwa itakuwa bora Kuna utofauti mkubwa kati ya video ya gharama na video iliyo Bora.
Kwa mtazamo wangu ambao sio lazima Kila mtu awe nao kwangu Music video ya Mario Hakuna Matata ni Bora zaidi kuliko Komasava ya Diamond Platinumz.
π π πUme zunguka weee mwishon ndo ume funguka ukwel wako π€£π€£π€£π€£