XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,231
- 2,778
Yap wako njema mizengwe, hata yule babu wa mizengwe anawezajamaa wa mizengwe yule Mkwele original aka mrithi wa max....yuko poa sana yule bt hata mizengwe kwa ujumla wanaweza aise...
Nakuunga mkono,mimi hakuna mchekeshaji wa Tz anayeni impress,wote wanatumia nguvu nyingi sana,sio majuto tena huyu mzee namuona ana utoto na hata kwenye matangazo anakosa uhalisia,walearn from kenya wachekeshaji walivyo creative na walivyo na upeo wa mambo !Simpendi Mc Pilipili ila basi, uchekeshaji mwingine ni zero kabisa. Ndo maana nimebaki kutazama Churchill Show ya Kenya.
hahahahahahaa na tukikutana kwa town usiniite pastor utakuja nichomea diliChurchill ni kiboko mazee yaan ukutane na Pastor Kuria jaman mbavu zangu
Brother K wa futuhi?Ukiondoa Mpoki,Joti na Kitale wengine wote wanalazimisha fani lkn hawaiwezi uyo Idrisa na mc pilipil ndio kabisa
Watanazania tu wafuata mkumbo na washamba. Watu hatujiamini na ukiona mtu kafanya kitu unafikiria na wewe usipofanya utaonekana mshamba. Inawezekana mlikuwa mmejazana watu wa low IQ kwenye hall. Anyways Tanzania kwa upande wangu sioni mchekeshaji (hawa wanaofanya kama kazi) lakini mtaani kuna wachekeshaji wengi sana.Kweli maisha ya duniani tofauti kabisa ndoo maana mungu katuumba tofauti alikuwa na maana yake.Wiki iliyopita mc Pilipili alikuwa Tanga kwenye harus na mm nilihdhuria.Niliuliza gharama za kumkodi nikaambiwa milioni mbili na hapo alikuwa anatoka Arusha kikaz.Alichekesha mle ndani mpaka watu wakavunjika mbavu na machzi yanawatoka watu.Alitumia kama masaa manne au matatu na nusu.Ndoo maana nasema binadam tumeumbwa tofauti na mungu alikuwa na makusudio yake kwani asiekuchekesha ww anaweza kumchekesha mwingne.Usie muona ana thamani kwa mwingne ana thamani kubwa na maisha yanaendelea.
Hatimaye Makonda kasikia kilio chako mkuuNinaomba ieleweke wazi sina bifu na Idris Sultan wala sijawahi kuwa na bifu naye ,ila penye ukweli lazima pasemwe huyu bwana mdogo ni mfanya ujinga na mambo ya kitoto toto ambayo yeye binafsi anadhani anatuchekesha kumbe tunamuona ni punguani tu asiye jielewa.
Mbali na yeye wengine wanaomfuatia kwa kufanya ujinga huku wakidhani wanatuchekesha ni Mkali wao na Dullvani wote hawa ni wafanya ujinga na mambo ya kipuuzi puuzi yasiyoeleweka.
Kwa ambao mpo karibu na Idris Sultan mwambieni tumechoka kuona mambo yake ya kipuuzi abadilike anatuboa.
Anakuboa wewe na huyo ziro wenu!Ninaomba ieleweke wazi sina bifu na Idris Sultan wala sijawahi kuwa na bifu naye ,ila penye ukweli lazima pasemwe huyu bwana mdogo ni mfanya ujinga na mambo ya kitoto toto ambayo yeye binafsi anadhani anatuchekesha kumbe tunamuona ni punguani tu asiye jielewa.
Mbali na yeye wengine wanaomfuatia kwa kufanya ujinga huku wakidhani wanatuchekesha ni Mkali wao na Dullvani wote hawa ni wafanya ujinga na mambo ya kipuuzi puuzi yasiyoeleweka.
Kwa ambao mpo karibu na Idris Sultan mwambieni tumechoka kuona mambo yake ya kipuuzi abadilike anatuboa.
Hata mimi pia ni mchekeshaji,Watanazania tu wafuata mkumbo na washamba. Watu hatujiamini na ukiona mtu kafanya kitu unafikiria na wewe usipofanya utaonekana mshamba. Inawezekana mlikuwa mmejazana watu wa low IQ kwenye hall. Anyways Tanzania kwa upande wangu sioni mchekeshaji (hawa wanaofanya kama kazi) lakini mtaani kuna wachekeshaji wengi sana.