Kuna tofauti yoyote kuacha kula chips na kuhamia kula ndizi za kukaanga kiafya?

Kuna tofauti yoyote kuacha kula chips na kuhamia kula ndizi za kukaanga kiafya?

Nafikiri viazi na ndizi bado vyote vipo kundi moja la vyakula. Suala la maji ya baridi kusababisha cancer tusubiri watafiti watuletee majibu
 
Nafikiri viazi na ndizi bado vyote vipo kundi moja la vyakula. Suala la maji ya baridi kusababisha cancer tusubiri watafiti watuletee majibu
Sio cancer wamesema linasababisha ugonjwa wa Moyo...heart attack...
Nna wasiwasi uzushi tu
 
Vyakula vya kukaanga vinapingwa kutokana na mafuta machafuna kuungua kwa mafuta.

Ila kama una uhakika na mafuta we kula tu, wazungu tunao waona wanakula sana hayo madude ila wapo hai hadi leo.

Angalia Marais wa Ulaya wengi wazee ila wanabugia sana hayo madude.

Muhimu mazoezi
 
Kunywa maji ya baridi kwa ujumla haitasababisha matatizo ya moyo. Hata hivyo, kwa baadhi ya watu wenye matatizo ya moyo yaliyopo awali, kunywa maji baridi sana au vinywaji vingine baridi kunaweza kusababisha dalili fulani. Dalili hizo zinaweza kujumuisha maumivu ya kifua, kuhisi moyo unapiga haraka au kushindwa kupumua vizuri. baridi linaweza kusababisha mishipa ya damu kusinyaa, na hivyo kusababisha shinikizo la damu kuongezeka au kiwango cha moyo kuwa kikubwa kwa watu wenye hisia hiyo.

Ikiwa una tatizo la moyo lililothibitishwa hapo awali au ikiwa unapata dalili yoyote isiyo ya kawaida baada ya kunywa maji baridi, ni vyema kushauriana na mtaalamu wa afya ili apate kufanya tathmini kamili na kutoa maelekezo sahihi. Wataalamu hao wanaweza kukupa ushauri uliobinafsishwa kulingana na hali yako ya kiafya maalum.
 
Mtu akiacha Kula chips lakini anakula ndizi za kukaanga...kuna mabadiliko yeyote hapo ya maana health-wise?

Kingine nimesikia maji baridi Yana madhara.....yanasababisha ugonjwa wa Moyo...hii nayo kweli au uzushi?
Ona bro.

Katika ulaji mzima wa chips, yai na viazi soda ndio mbaya.

Narudia tena, soda ndio mbaya vingine vyote ni fresh;

Mayai ni chakula bora
Mafuta ni chakula bora
Viazi ni chakula bora
Ndizi ni chakula bora

Nini tena?

Kikichobaki ni soda tu, soda ndio hata sio chakula. Soda ndo mchawi, sio chipsi yai, wala kuku wala ndizi wala mafuta. Ni soda.
 
Back
Top Bottom