kuna tufouti gani kati ya kuona na kuangalia

kuna tufouti gani kati ya kuona na kuangalia

aseenga

Senior Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
106
Reaction score
86
kumekua na maoni tofati ya watu nilio wahi kuwauuliza swali hili, sasa nataka na nyinyi wadau mnipe tofati ya kuona na kuangalia.
 
Hauwezi kuona bila ya kuangalia,but unaweza kuangalia lakini husione icho kitu,
 
Kwa kawaida, unaanza kuangalia ndio inakuja kuona. Huwezi kuona bila kuangalia, kwamba kuona ni kitendo kinachofuatia baada ya kuangalia.
 
kuona ni kuitambua taswira,au uwepo wa kitu, kuangalia ni kunyambulisha 'details' za kitu kionekanacho...huu ni mtizamo wangu.
 
Hapa ni sawa na kusema, siri ya biashara na biashara ya siri...kwa mfano, unaweza kuona na usiangalie, vilevile unaweza kuangalia na usione....ie, unapita mtaani "ukaona" vijana wanacheza mpira, lakini "usiangalie"...mwezi umeandama, m2 anakuonyesha "angalia",pale, lakini "usione"! Kuona na kuangalia, ni vi2 viwili tofauti. Aaah!
 
yap je kuangalia na kutazama?
Mimi naona kuona inarelated na ubongo mf. Naona umekasirika but kuangalia ni kutoka kwenye upeo wa macho!
 
aise kuona ipo ndan ya kuangalia! Namaanisha kitendo cha kwanza kufanyka ni kuangalia then ndo kuona kunakja badae! But kumbka unaweza kuangalia usione but huwez kuaona bila kuangalia/tazama.ni hayo tu!
 
Hii thread hapa sio mahali pake hemu ipeleke kwenye lugha huko nadhani utapata majibu sahihi zaidi.
 
kwa mfano mwanamke akiwa mbele yako ghafla Utamwangalia ila kama ameshakupita ukageuka na kuendelea naye hapo tunasema unamuona ambapo ni zaidi ya kuangalia, na unakuwa kwenye hatari ya kuingia kwenye dhambi ya kutamani
 
Back
Top Bottom