GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Sijui kwa ufasaha maana ya chama dola, ila nimeshasikia mara kadhaa CCM ikilaumiwa kuwa ni chama dola!
1. Ni vibaya kuwa chama dola?
2. Katiba inasemaje kuhusiana na hilo?
1. Ni vibaya kuwa chama dola?
2. Katiba inasemaje kuhusiana na hilo?