GoldDhahabu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2023 Posts 7,189 Reaction score 10,375 Dec 12, 2024 #1 Sijui kwa ufasaha maana ya chama dola, ila nimeshasikia mara kadhaa CCM ikilaumiwa kuwa ni chama dola! 1. Ni vibaya kuwa chama dola? 2. Katiba inasemaje kuhusiana na hilo?
Sijui kwa ufasaha maana ya chama dola, ila nimeshasikia mara kadhaa CCM ikilaumiwa kuwa ni chama dola! 1. Ni vibaya kuwa chama dola? 2. Katiba inasemaje kuhusiana na hilo?