P Power Benq JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 548 Reaction score 456 May 13, 2017 #21 yusuph bukombe said: Zingeongezwa maana aggregate ingeonyesha 2:2 Click to expand... Aliyeruhusu magoli mengi nyumbani kwake angetolewa.
yusuph bukombe said: Zingeongezwa maana aggregate ingeonyesha 2:2 Click to expand... Aliyeruhusu magoli mengi nyumbani kwake angetolewa.
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,118 Reaction score 16,485 May 13, 2017 #22 Mbimbinho said: Sidhani kama mleta maada aliuliza swali kama hilo. Unoko tu umekujaa, Haya arsanal yako nzuri. Click to expand... Mbona povu jiiiingi kama Mama Chiku na sabuni yake ya Family Detergent? Man U ni timu ya hovyo
Mbimbinho said: Sidhani kama mleta maada aliuliza swali kama hilo. Unoko tu umekujaa, Haya arsanal yako nzuri. Click to expand... Mbona povu jiiiingi kama Mama Chiku na sabuni yake ya Family Detergent? Man U ni timu ya hovyo
F focus ernest Member Joined Apr 10, 2017 Posts 7 Reaction score 2 May 13, 2017 #23 Celta Vigo wangefuzu
MLAU JF-Expert Member Joined Aug 23, 2007 Posts 4,726 Reaction score 3,363 May 14, 2017 #24 Celta Vigo angeingia fainali kwa magoli advantage ya kuwa na magoli mengi ya uwanja wa ugenini 2 kulinganisha na Man utd goli 1 uwanja wa ugenini
Celta Vigo angeingia fainali kwa magoli advantage ya kuwa na magoli mengi ya uwanja wa ugenini 2 kulinganisha na Man utd goli 1 uwanja wa ugenini