Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeshuhudia uchawi na unaweza kuuthibitisha?Kama ni muumini wa dini(e.g Ukristo)basi utakubali kuwa uchawi upo ila km ni muumini uchwala usiesoma vitabu na kuviamini basi utaamini hakuna uchawi.
Km upo upo tu huwezi jua kamwe ni namna gani nguvu za kiroho(giza) zinavyofanya kazi.
Hebu tupe mfano halisi wa uchawi wao hata mmojaWeupe wapo juu kwenye level ya uchawi thus awakurogeka
Ok ok Mkuu...tumsubiri
Ok...Mkuu nijibu kwanzaunazijua level za maendeleo ?
Sawa sawa Mkuu,shukrani MkuuFreemason ndo level ya mwisho nnayoijua Mimi ila ya Kwanza siijui..
Shukrani sana Mkuu...Zipo level tatu
Uchawi wa kuuwa
Uchawi wa kutesa
Uchawi wa kufarakanisha
Nakumbuka kuna wazee walikolofishana kilabuni mmoja akamwambia mwenzake utaona
Yule mwingine akisema huwezi
Amini usiamini mmoja wapo kati ya hao wazee alipatwa na vidonda kwenye ulimi na kupelekea ulimu kuoza na hatimae alikufa yule mzee
Uchawi upo sana
[emoji23][emoji23]...unatafuta ugomvi MkuuBashiru njoo ujibu hili swali.
Wewe SI ndio ulikua kinara wa kukata watu walioshinda na kuweka mabumunda......