Kuna ufa kwenye nyumba, fundi kaziba mara mbili na magunia hajafanikiwa

Mwenye kujua njia ya kukarabati nyufa (cracks) kwenye kuta za nyumba msaada tafadhali.
 
Na kwa nini ufa utokee...mbona kuna nyumba za miaka wakati tunakua hazijawahi kuwa na nyufa...ndio tatizo la kukwepa gharama za ujenzi na kupata olimradi nyumba
 
Umejenga kwenye njia? Kama ulipojenga palikuwa ni njia ya muda mrefu basi huo ufa utaendelea kuwepo. Ila endelea kujaribu kutafuta namna ya kuutoa kwa kuanzia chini.
Kwa nini mkuu?
 
Mama Nehemiah pole.

Malekebisho yake yana wezekana,
Nipigie
0753961896

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ufa kwenye numba ni kupumua kwa nyumba ni sawa na wewe ukibanwa pua inakuwaje,hivyo siyo kila ufa unamadhara
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Hapo umenena mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…