Kuna uhitaji mkubwa wa maktaba nyenginezo mpya hapa Dar

Kuna uhitaji mkubwa wa maktaba nyenginezo mpya hapa Dar

nasrimgambo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2017
Posts
1,902
Reaction score
2,488
Ukiachana na wanafunzi ambao wanahudhuria shule ama vyuo ambako kuna madarasa na maeneo ya kujisomea, raia wa kawaida wanaotala kujisomea wanapata changamoto kweye mji huu

Hasa ukizingatia watu wengi wanaishi mitaa na mazingira yasiyo encourage utulivu wa kujisomea.

Kimbilio lao pekee ilipaswa kuwa maktaba za umma.

Ila sasa, Katika mji huu mkubwa wa mamilioni ya watu maktaba tunayoifahamu ni moja tu iliyoko posta.

Hivyo ni dhahiri kuna uhitaji mkubwa wa maktaba mji huu tena sio moja,

Haiwezekani watu wa tegeta, mbezi, kigamboni wafanye kuuzunguka mji wote siku nzima kwenda na kurudi toka posta kufuata maktaba

Ni dhahiri, Kila wilaya ilipaswa iwe na maktaba,

Wanaohusika wanapaswa kunotisi hili hitaji.
 
Ukiachana na wanafunzi ambao wanahudhuria shule ama vyuo ambako kuna madarasa na maeneo ya kujisomea, raia wa kawaida wanaotala kujisomea wanapata changamoto kweye mji huu

Hasa ukizingatia watu wengi wanaishi mitaa na mazingira yasiyo encourage utulivu wa kujisomea.

Kimbilio lao pekee ilipaswa kuwa maktaba za umma.

Ila sasa, Katika mji huu mkubwa wa mamilioni ya watu maktaba tunayoifahamu ni moja tu iliyoko posta.

Hivyo ni dhahiri kuna uhitaji mkubwa wa maktaba mji huu tena sio moja,

Haiwezekani watu wa tegeta, mbezi, kigamboni wafanye kuuzunguka mji wote siku nzima kwenda na kurudi toka posta kufuata maktaba

Ni dhahiri, Kila wilaya ilipaswa iwe na maktaba,

Wanaohusika wanapaswa kunotisi hili hitaji.
Mhi watu wako busy na mikeka. Watasoma sangapi? Uafrica ni laana ni maana hatuendelei
 
Back
Top Bottom