Kuna uhusiano gani baina ya Mafanikio na Freemason?

Kuna uhusiano gani baina ya Mafanikio na Freemason?

Galadudu

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
2,304
Reaction score
773
Hivi ni kitu gani hicho, na kina nguvu gani kwa wasanii na watu wa kawaida, maana mtu asifanikiwe kdg unaambiwa ni freemason, sasa imekuwa mtu anajickia ujiko sana akiitwa freemason, wasanii wetu nao iwe wa kuimba au kuigiza, wameshakuwa mabwege kabisa, eti kila akiweka pozi la kupigia picha anafanya zile ishara zao wanazoona ndo za ki freemason

Hebu nisaidieni juu ya huo upuuzi na mnijuze una uhusiano gani na mafanikio ya mtu
 
Imekuwaje uiweke kama News Alert.?
 
kuna ka uongo kdg,kwasbb nlisoma makala ya Sir. Chande anayesemekana n kiongozi wa freemason Afrika Mashariki akasema n chama kama vilivyo vyama vingine ili kuwa mwanachama sharti la kwanza uwe na uwezo wa kuchangia bil 1 kwa mwaka ili uanachama uweze kudumu,sasa we jiulize hawa wasanii wetu wanauwezo wa kuingiza hiyo pesa?
 
Freemason / secret code / occult wanafanya makafara

Huyo chande kawadanganya tu....lucifer anatumia mbinu nyingi kuwadanganya
Na ndo maana wengi wanaingia huko wakikuta sivyo wakitaka kutoka inakuwa ngumu. ..mwisho kufa

Wanahusiswa coz unakuta mtu ana utajiri wa ghafla ndo maana ambao kiuhalisia unaona kabisa huu ni uongo kulingana na kazi anazozifanya mhucka
 
Je kuna uwezekano humu jf wakawepo?
 
Back
Top Bottom