Kuna uhusiano gani kati ya chumvi na kachumbari, embe bichi na matango?

Kuna uhusiano gani kati ya chumvi na kachumbari, embe bichi na matango?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Hivi kwa nini walaji wa haya matunda- matango, maembe mabichi na matango au kachumbari wanatumia sana chumvi? Kwa nini wasitumie sukari? Hivi vitu vina uhusiano gani na chumvi?

Jamani, wale wataalam wa mambo ya lishe, karibuni mtujuze.
 
hongera mkuu naona wife kashaanza kukuagiza maembe na chumvi,baadae itakuwa akikuona tu anaanza kutapika
 
Ah ah aha ha haya maswali mengine bana!, labda ni kutokana na kila kitu kilivyo testi yake inakifanya kiendane na chumvi au sukari. Ila ktk chakula chumvi ndio pekee inayoleta ladha katika vyakula vingi zaidi, sukari pia ina nafasi yake mfano: wapo wanaoweka sukari katika makande, tambi, au futari, lakini sio wote wanaopenda, wengine hutia chumvi ktk makande, tambi au futari.

Chumvi ina ugwadu fulani hivi ambao huleta utamu ktk baadhi ya matunda hasa embe mbichi, tango, parachichi sio lazima labda upende tu mwenyewe. Chumvi inaleta raha kubwa sana ktk vyakula vya aina yake, na kubwa zaidi ni kujaribu kukila kitu na chumvi ndo utajua kama kinaendana au vipi, mfano:- Mahindi ya kuchoma hayakua yakiliwa na chumvi, lakini siku hizi full chumvi, ndimu na pilipili, nani aligundua ni ubunifu tu wakusaka wateja.

Pia binafsi huwa naweka chumvi ktk chungwa tamu kabisa, na ninafeel good kulila. So inategemea na ladha ya tunda au chakula chenyewe na mlaji pia, wengine hawapendi kabisa chumvi anaweza kula embe chachu hivyo hivyo.
 
Ah ah aha ha haya maswali mengine bana!, labda ni kutokana na kila kitu kilivyo testi yake inakifanya kiendane na chumvi au sukari. Ila ktk chakula chumvi ndio pekee inayoleta ladha katika vyakula vingi zaidi, sukari pia ina nafasi yake mfano: wapo wanaoweka sukari katika makande, tambi, au futari, lakini sio wote wanaopenda, wengine hutia chumvi ktk makande, tambi au futari.

Chumvi ina ugwadu fulani hivi ambao huleta utamu ktk baadhi ya matunda hasa embe mbichi, tango, parachichi sio lazima labda upende tu mwenyewe. Chumvi inaleta raha kubwa sana ktk vyakula vya aina yake, na kubwa zaidi ni kujaribu kukila kitu na chumvi ndo utajua kama kinaendana au vipi, mfano:- Mahindi ya kuchoma hayakua yakiliwa na chumvi, lakini siku hizi full chumvi, ndimu na pilipili, nani aligundua ni ubunifu tu wakusaka wateja.

Pia binafsi huwa naweka chumvi ktk chungwa tamu kabisa, na ninafeel good kulila. So inategemea na ladha ya tunda au chakula chenyewe na mlaji pia, wengine hawapendi kabisa chumvi anaweza kula embe chachu hivyo hivyo.

yaaani nimefanya chumvi kama kichoveo muhim kwangu wali wa Nazi vie kabla haujakauka vizuri naupakua kidogo nautenga pembeni nanyunyizia chumvi nakula mtamuje na kale kaharufu ka naz naz na tumchele naenjoy sana chips bila chumvi siziwes naziona zimpooza lazima niitafte niitowelee samaki nyama napenda mno chumvi
 
yaaani nimefanya chumvi kama kichoveo muhim kwangu wali wa Nazi vie kabla haujakauka vizuri naupakua kidogo nautenga pembeni nanyunyizia chumvi nakula mtamuje na kale kaharufu ka naz naz na tumchele naenjoy sana chips bila chumvi siziwes naziona zimpooza lazima niitafte niitowelee samaki nyama napenda mno chumvi

Du yani wali unanyunyizia chumvi? ndo mana nikasema inategemea na mlaji, mimi hapo siwezi kabisa, chumvi juu ya wali!
 
Back
Top Bottom