Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,350
Nimekua nikiona mara kwa mara hivi karibuni event nyingi za harmonize basi Cloud's TV na TV-E wanarusha live,tofauti na vituo vingine,
Na hata Show's nyingi bure za pale nyuma kidogo baada ya konde boy au aka Tembo au jeshi,kujitoa WCB wasafi,clouds na E-fm walikuwa very close na harmonize.
Na ukiachana na hilo la vituo vyote hivyo viwili kuonekana vimeungana kumsapoti konde,nimekuwa nikiona comment's humu na kusikia tetesi kwenye vijiwe vya kahawa na mitaani kuwa yule bwana majizzo,CEO Na MD wa E-fm anapewa kipaumbele cha kwenda kuchukua nafasi ya ruge pale cloudsfmtz
Je kama majizzo ni Mmiliki wa E-fm anawezaje kwenda kuwa mhimili wa kituo pinzani cha burudani?
Au majizzo pale E-fm ni kimvuli tu,kuna wamiliki wengine? Maana Mimi muda wote nimekuwa najua kuwa majizzo ana miliki E-fm na TV-E kwa asilimia 100,sasa napata ukakasi juu ya hizo tetesi na uhusiano wa cloudsfmtz na E-fm.
Au kusaga pia ana hisa pale E-fm?
Ndio maana hivi vituo vimekuwa close hivyo?
Au inawezekana vimeamua kumsapoti kondeboy huku kila mmoja akiwa na target ya kumtumia kwenye msimu ujao wa matamasha ya kiburudani Yaani fiesta na mziki mnene?na Je hilo haliwezi Baadae kumuweka kondeboy njiapanda hasa msimu wa Show's kuanza.
Na hata Show's nyingi bure za pale nyuma kidogo baada ya konde boy au aka Tembo au jeshi,kujitoa WCB wasafi,clouds na E-fm walikuwa very close na harmonize.
Na ukiachana na hilo la vituo vyote hivyo viwili kuonekana vimeungana kumsapoti konde,nimekuwa nikiona comment's humu na kusikia tetesi kwenye vijiwe vya kahawa na mitaani kuwa yule bwana majizzo,CEO Na MD wa E-fm anapewa kipaumbele cha kwenda kuchukua nafasi ya ruge pale cloudsfmtz
Je kama majizzo ni Mmiliki wa E-fm anawezaje kwenda kuwa mhimili wa kituo pinzani cha burudani?
Au majizzo pale E-fm ni kimvuli tu,kuna wamiliki wengine? Maana Mimi muda wote nimekuwa najua kuwa majizzo ana miliki E-fm na TV-E kwa asilimia 100,sasa napata ukakasi juu ya hizo tetesi na uhusiano wa cloudsfmtz na E-fm.
Au kusaga pia ana hisa pale E-fm?
Ndio maana hivi vituo vimekuwa close hivyo?
Au inawezekana vimeamua kumsapoti kondeboy huku kila mmoja akiwa na target ya kumtumia kwenye msimu ujao wa matamasha ya kiburudani Yaani fiesta na mziki mnene?na Je hilo haliwezi Baadae kumuweka kondeboy njiapanda hasa msimu wa Show's kuanza.