Kuna Uhusiano gani kati ya kanisa na serikali?

Kuna Uhusiano gani kati ya kanisa na serikali?

jupiter001

Member
Joined
May 25, 2023
Posts
44
Reaction score
72
Nilimsikia Padre Kitime , akiongelea suala la Bandari , alisema siku za nyuma Rais hayati Benjamin Mkapa alipotaka kubinafsisha shirika la ndege , kanisa lilimuita mbele ya baraza la maaskofu na kumkarisha .
Hii kauli ya "Kumkalisha kwenye kigoda" ina maana zaidi ya kawaida.
Ni kweli serikali hua inapokea maagizo ya baraza la maaskofu?
 
Nilimsikia Padre Kitime , akiongelea suala la Bandari , alisema siku za nyuma Rais hayati Benjamin Mkapa alipotaka kubinafsisha shirika la ndege , kanisa lilimuita mbele ya baraza la maaskofu na kumkarisha .
Hii kauli ya "Kumkalisha kwenye kigoda" ina maana zaidi ya kawaida.
Ni kweli serikali hua inapokea maagizo ya baraza la maaskofu?

Angalia idadi ya watu ambao ni wafuasi wa makanisa hayo
Hao wanasimama kama wawakilishi wa waumini wao.. ni mara ngapi viongozi wanaowawakilisha wananchi wanashindwa kutetea maslahi ya wananchi
 
Tangu mwanzo,

Mungu alimpa mwanadamu Nchi aitunze na kutawala vyote vilivyomo.

Baada ya uasi, mwanadamu alimkabidhi ibilisi utawala.

Yesu aliporudi, alirudisha utawala Kwa mwanadamu aliyeokoka.

In fact, waliookoka ndio wanaowaweka madarakani viongozi na kuwaombea.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mahakama inapokea simu ili kuamua kesi
 
Nilimsikia Padre Kitime , akiongelea suala la Bandari , alisema siku za nyuma Rais hayati Benjamin Mkapa alipotaka kubinafsisha shirika la ndege , kanisa lilimuita mbele ya baraza la maaskofu na kumkarisha .
Hii kauli ya "Kumkalisha kwenye kigoda" ina maana zaidi ya kawaida.
Ni kweli serikali hua inapokea maagizo ya baraza la maaskofu?
Hutaki?
 
Back
Top Bottom