Kuna uhusiano gani kati ya kesi na mwendesha mashtaka?

Kuna uhusiano gani kati ya kesi na mwendesha mashtaka?

nkolaniwe

Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
24
Reaction score
1
hsbari wanajamvi tafadhalini naomba ufafanuzi mwendesha mashtaka pp ana uhusiano gani na kesi naulixa hivi nikiwa na maana hii kesi inaweza kuahirishwa kwa sababu pp hayupo?
 
si umesema mwenyewe MWENDESHA MASHTAKA?,sasa kesi itaendeshwa vipi wakati hayupo?,au labda sijaelewa unataka kujua nini
 
mm namaaninisha haiwezekani hata mwendesha mastaka mwimgine kufanya kazi hiyo badala ya yile wa awali halafu mm nataka nifafanuliwe uhudiano uliopo baina ya kesi na mwendesha mashtaka.
 
hsbari wanajamvi tafadhalini naomba ufafanuzi mwendesha mashtaka pp ana uhusiano gani na kesi naulixa hivi nikiwa na maana hii kesi inaweza kuahirishwa kwa sababu pp hayupo?
mkuu utakuwa unajua uhusiano kati ya gari na dereva? ukijibu hilo utapata na jibu uliloliomba. bila dereva gari yaweza kwenda?

lakini kutokana na specification yako, pp ni republic, ni mwanadamu ambaye leo anaweza awepo au asiwepo, na jalada la kesi yeye ndio alilisoma vizuri kwaajili ya kuendelea, akija pp mpya itakuwa sio fair huyo mpya kuendelea na jalada ambalo hajalisoma. inaweza kuahirishwa either huyo pp mpya aliyekuja kuahirisha akalisome jalada ili tarehe ijayo mje muendelee au kama amesoma mtaendelea. hivyohivyo kwa wakili wa kujitegemea, kama umeingia katikati, itakuwa sio fair kama utaendelea bila kusoma proceedings, utalipua na utasababisha haki isitendeke, ndio maana huwa tunaomba proceedings ili tuzisome kesi iliendeleaje ili aendelee kwa uelewe. huwezi kuendesha jalada ambalo haulijui vizuri. kwahiyo kama pp mpya ameahirisha jalada ambalo hakuwa analiendesha yeye kwasababu pp aliyeliendesha jalada hilo hayupo. au nikujibu nini tena kingine?
 
mkuu utakuwa unajua uhusiano kati ya gari na dereva? ukijibu hilo utapata na jibu uliloliomba. bila dereva gari yaweza kwenda?

lakini kutokana na specification yako, pp ni republic, ni mwanadamu ambaye leo anaweza awepo au asiwepo, na jalada la kesi yeye ndio alilisoma vizuri kwaajili ya kuendelea, akija pp mpya itakuwa sio fair huyo mpya kuendelea na jalada ambalo hajalisoma. inaweza kuahirishwa either huyo pp mpya aliyekuja kuahirisha akalisome jalada ili tarehe ijayo mje muendelee au kama amesoma mtaendelea. hivyohivyo kwa wakili wa kujitegemea, kama umeingia katikati, itakuwa sio fair kama utaendelea bila kusoma proceedings, utalipua na utasababisha haki isitendeke, ndio maana huwa tunaomba proceedings ili tuzisome kesi iliendeleaje ili aendelee kwa uelewe. huwezi kuendesha jalada ambalo haulijui vizuri. kwahiyo kama pp mpya ameahirisha jalada ambalo hakuwa analiendesha yeye kwasababu pp aliyeliendesha jalada hilo hayupo. au nikujibu nini tena kingine?

okey asante kwa majibu yako maxuri hute itakuea vyema kama utanisaidia na hili je pp ana.uwezo wakumuondoa mtuhumiwa kwenye shitaka? na je kwa kawaida upelelezi unatakiwa ukamilike ndani yamuda gani baada ya kesi kufika mahskamani? na n hatua gani mtu aliyeingizwa kwenye mkumbo wa kesi isiyomuhusu anatakiwa kuzifuata ili apate haki yake ya msingi? n hayo tu muheshimiwa naomba msaada wako.
 
okey asante kwa majibu yako maxuri hute itakuea vyema kama utanisaidia na hili je pp ana.uwezo wakumuondoa mtuhumiwa kwenye shitaka? na je kwa kawaida upelelezi unatakiwa ukamilike ndani yamuda gani baada ya kesi kufika mahskamani? na n hatua gani mtu aliyeingizwa kwenye mkumbo wa kesi isiyomuhusu anatakiwa kuzifuata ili apate haki yake ya msingi? n hayo tu muheshimiwa naomba msaada wako.
wakili wa serikali au public prosecutor yeyote anao uwezo chini ya kifungu cha 91(1) au 98(a) CPA kuondoa shitaka. wanafanya hivyo kwasababu wanaact kama mawakala wa dpp mwenye uwezo wa kufanya hivyo au pengine waweza kufanya baada ya kuwasiliana naye. wakati kesi ikifunguliwa na ikaendelea ni kawaida kwa mwendesha mashitaka akiona kuna mshitakiwa hana ushaidi wa kutosha, anaweza kumuondoa na kubadilisha hati ya shitaka iwe na wale waliobaki tu. kwa hiyo hapo jibu ni NDIYO.

upelelezi unatakiwa kwisha lini?...inategemeana na aina ya kosa. kuna makosa mengine ambayo upelelezi haujawa specified kwamba unatakiwa uishe lini. mfano, forgery na mengine kasome 225 (4) CPA, kuna makosa ambayo yameorodhesha kuwa hayana kikomo. vilevile kuna makosa mengine yapo subordinate courts kama preliminary inquiries kusubiria upelelezi uukikamilika washitakiwa wawe committed to the high court, that means mahakama za chini hazina mamlaka kuendesha wala hata kulifuta, hapo itabii uwe mpole usubirie tu hadi upelelezi uishe kama republic watakavyotaka. mfano, kesi za madawa ya kulevya, mauaji, economic crime cases n.k.

ila kuna makosa yale ambayo ya kawaida, hayajatajwa kwenye kifungu hicho hapo juu, upelelezi wake unatakiwa kuwa umeisha ndani ya siku 60, kama republic wataona bado haujakamilika basi kabla ya siku 60 hazijaisha wanatakiwa kufile certificate ya RCO kuomba kuongezewa siku 60 nyingine. siku 60 zikiisha na bado wanatakiwa kufile certificate ya State attorney kuongeza siku 60 nyingine, hizo za state attorney zikiisha wanatakiwa kuleta certificate ya dpp ambaye amepewa uwezo wa miezo 24 (miaka miwili). piga hesabu hapo uone namna republic wakiamua kukushughulikia watakachofanya. 60 zile za mwanzo kabla ya rco plus 60 za rco plus 60 za state attorney plus 24 months sawa na miezi 30. unao uwezo kukaa ndani kwa miezi 30 yaani miaka miwili na nusu unaweza kukaa ndani tu kama wakiamua.
 
Mkuu... Hute nami nimejifunza kitu hapa Hebu nami niulize jambo 1 Kuna jamaa yangu aliazima pesa kwa Rafikiake km 8ml...Walipeana kirafiki hakukuwa na Maandishi yyt jamaa amechelewa kumrudishia kwa wakati waliokubaliana sasa mdai kamfungulia Jalada Polisi kwamba amemtapeli kwamba pesa alizompa jamaa ilikuwa nikwakumuagizia Nguo China lkn jamaa kwenye Melezo Polis amekubali kuwa nikweli Amechukua pesa lkn haikuwa nikwaajili yakumugizia Bidhaa yyt China...Kesi sasa iko Mahakamani kwamaana kwamba Jamaa kafunguliwa KESI ya Jinai...Swali kwa Maelezo ya mlalamikaji na mtuhuniwa kwa mwenendo wa kesi km hiz ikiwa mlalamikaji atashindwa kuthibitishà tuhuma Hukumu yake itakuwaje? Atamuliwa mdaiwa alipe deni au itafutwa kwakuwa Kesi imekosa ushahidi wakutosha so anaweza akafungua shtaka lingine labda la Madai? au inakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
wakili wa serikali au public prosecutor yeyote anao uwezo chini ya kifungu cha 91(1) au 98(a) CPA kuondoa shitaka. wanafanya hivyo kwasababu wanaact kama mawakala wa dpp mwenye uwezo wa kufanya hivyo au pengine waweza kufanya baada ya kuwasiliana naye. wakati kesi ikifunguliwa na ikaendelea ni kawaida kwa mwendesha mashitaka akiona kuna mshitakiwa hana ushaidi wa kutosha, anaweza kumuondoa na kubadilisha hati ya shitaka iwe na wale waliobaki tu. kwa hiyo hapo jibu ni NDIYO.

upelelezi unatakiwa kwisha lini?...inategemeana na aina ya kosa. kuna makosa mengine ambayo upelelezi haujawa specified kwamba unatakiwa uishe lini. mfano, forgery na mengine kasome 225 (4) CPA, kuna makosa ambayo yameorodhesha kuwa hayana kikomo. vilevile kuna makosa mengine yapo subordinate courts kama preliminary inquiries kusubiria upelelezi uukikamilika washitakiwa wawe committed to the high court, that means mahakama za chini hazina mamlaka kuendesha wala hata kulifuta, hapo itabii uwe mpole usubirie tu hadi upelelezi uishe kama republic watakavyotaka. mfano, kesi za madawa ya kulevya, mauaji, economic crime cases n.k.

ila kuna makosa yale ambayo ya kawaida, hayajatajwa kwenye kifungu hicho hapo juu, upelelezi wake unatakiwa kuwa umeisha ndani ya siku 60, kama republic wataona bado haujakamilika basi kabla ya siku 60 hazijaisha wanatakiwa kufile certificate ya RCO kuomba kuongezewa siku 60 nyingine. siku 60 zikiisha na bado wanatakiwa kufile certificate ya State attorney kuongeza siku 60 nyingine, hizo za state attorney zikiisha wanatakiwa kuleta certificate ya dpp ambaye amepewa uwezo wa miezo 24 (miaka miwili). piga hesabu hapo uone namna republic wakiamua kukushughulikia watakachofanya. 60 zile za mwanzo kabla ya rco plus 60 za rco plus 60 za state attorney plus 24 months sawa na miezi 30. unao uwezo kukaa ndani kwa miezi 30 yaani miaka miwili na nusu unaweza kukaa ndani tu kama wakiamua.

asante sana kwa ufafanuzi wako mkuu sasa hapo napata picha.
 
mm naona hapo hakuna maana tena ya kuwa na kozi za upelelezi kama upelelezi unaweza kuchukua hadi miezi 30, na wapelelez waliopo wafutiwe vyeti maana kuna kesi nyngne hata ww tu unaweza kufanya upelelezi, ni matumiz mabaya ya uchumi wa nchi
 
Back
Top Bottom