Kuna uhusiano gani kati ya kuandama mwezi na kuugua kwa watoto

Kuna uhusiano gani kati ya kuandama mwezi na kuugua kwa watoto

cc MziziMkavu na wataalamu wote wa tiba ya sayansi na tiba asili!!!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naomba kuuliza kama kuna.....

Kwa watoto sina uelewa mzuri, isipokuwa kwa watu wenye ukichaa unaopanda kipindi cha mwezi ni kuwa mwezi huwa una sababisha high na low tide wakati mwezi unapokuwa kwenye uvutano na jua, sasa ile effect ya uvutano kati ya mwezi na jua inayosababisha hiyo high na low tide pia uwa ina effect pia ubongo ambao una abnomality labda wa kuwa na maji mengi nk
 
Back
Top Bottom