Kuna uhusiano gani kati ya maji na show jukwaani

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Mapendo! Bwana Yesu Asifiwe Amani Iwe Nanyi
Matumaini Yangu Weekend Inakwenda Vyema Wakuu.

Ebana Mm Na Maswali Yakizushi Nimekuwa Nikifatilia sana Show Mbali Mbali Si Tanzania tu Hata Nje Ya Tanzania

Marakadhaa Wasanii Wakipanda Majukwani Kutumbuiza Sijui ni vibes au Nini

Hufungua Chupa Za Maji Na Kuwamwagia Mashabiki !!

Je hii Inauhusiano upi Kati Ya Show Na Maji Katika Jukwaa??

Je Ni Vibes Kuwainua Watu Au Ndio Taratibu Zenyewe ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vibe tu, au unahisi ni uchawi?
Je vipi hao wasanii wakianza kusimama stejini na kuanza kukojolea mashabiki, hapo utasemaje sasa?
Kwani hayo maji yakiwamwagikia wanakufa?
 
Mleta uzi una jibu lako tayari kichwani, hapo akili yako inawaza ushirikina tu.
 
Upuuzi tu na kuiga iga usenge tu,mwanamuziki makini hawamwagii maji washabiki wake.sijawahi kumuona Chameleone au Burna boy wanamwaga mimaji ovyo
 
Ndio matatizo ya kuhudhuria show za wavuta bange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…