Kuna uhusiano gani kati ya Nyumba tunazoishi au kufanyia biashara na upatikanaji wa riziki?

Kuna uhusiano gani kati ya Nyumba tunazoishi au kufanyia biashara na upatikanaji wa riziki?

BOMBAY

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,732
Reaction score
3,508
Wadau habari zenu,

Nimepata frem mahali kwaajili ya kufungua Biashara, kuna Jamaa anahama.

Sasa kuna mdada anaeishi hapa kwenye hii nyumba kanambia kuwa hii nyumba haina Riziki/haina baraka ya pesa. Watu wanaoishi hapo wengi hawana maendeleo. Hivyo nisipoteze Pesa zangu bure.

Sasa hii imekaaje wadau?
 
Wadau habari zenu,

Nimepata frem mahali kwaajili ya kufungua Biashara, kuna Jamaa anahama.

Sasa kuna mdada anaeishi hapa kwenye hii nyumba kanambia kuwa hii nyumba haina Riziki/haina baraka ya pesa. Watu wanaoishi hapo wengi hawana maendeleo. Hivyo nisipoteze Pesa zangu bure.

Sasa hii imekaaje wadau?
Mimi kuna nyumba nilikuwa nataka kuhamia, dada wa kile chumba ninachotaka kuhamia akawa ananiambia "hii nyumba ina wachawi sana we subiri uhamie utaona mwenyewe mauza uza"

Huwezi amini nilikaa ile nyumba miaka mitatu na sikuwahi kuona mauza uza yoyote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi kuna nyumba nilikuwa nataka kuhamia, dada wa kile chumba ninachotaka kuhamia akawa ananiambia "hii nyumba ina wachawi sana we subiri uhamie utaona mwenyewe mauza uza"

Huwezi amini nilikaa ile nyumba miaka mitatu na sikuwahi kuona mauza uza yoyote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hukuchukua namba yake mkuu.....ili apate ushahuda kidogo
 
Mimi kuna nyumba nilikuwa nataka kuhamia, dada wa kile chumba ninachotaka kuhamia akawa ananiambia "hii nyumba ina wachawi sana we subiri uhamie utaona mwenyewe mauza uza"

Huwezi amini nilikaa ile nyumba miaka mitatu na sikuwahi kuona mauza uza yoyote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wengine wana shida zao binafsi
 
Back
Top Bottom