Kuna uhusiano gani kati ya Polepole na bwana Biden?

Kuna uhusiano gani kati ya Polepole na bwana Biden?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Jaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana

Pia angalia namna wanavyoongea na namana wanavyotazama lazima tu utakubaliana na maneno yangu

Kingine angalia hata makalio yao ni kama wako ==
 
Jaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana

Pia angalia namna wanavyoongea lazima tu utakubaliana na maneno yangu
Duniani wawili wawili lakini kwa akili sijui!?
 
Jaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana

Pia angalia namna wanavyoongea na namana wanavyotazama lazima tu utakubaliana na maneno yangu
Biden ni mkweli Polepole ni mnafiki . Kwa hili tu hawafanani
 
Aisee!!!
Umevuka mstari.
Muache yule mjane.
Mama wa watu hakujihusisha kwenye siasa au maamuzi ya hayati ...
Kuna muda nawaza kama watoto wa hayati wanapitia humu sijui wanajisikiaje....ila watu wamezidi imekua kama sifa sasa hivi..yaani unamtukana marehemu public utadhani hana familia au ndugu.!
 
Kuna muda nawaza kama watoto wa hayati wanapitia humu sijui wanajisikiaje....ila watu wamezidi imekua kama sifa sasa hivi..yaani unamtukana marehemu public utadhani hana familia au ndugu.!
Marehemu hata watoto wake kwa namna fulani wanafurahia lile tukio la betri kukata moto mwezi machi 2021
 
Kwamba kakosa hata mjane wa Chato amtunze kwa malipo ya kumbatio
hahahahahhaha
oya Arif acha uchochezi,usije ukamponza babu kijana akaanza kufanya harakati za pimbi kumsalandia bi mkubwa ale tunda kimasikhara halafu akachezea za uso afe Kwa presha!
Anyway hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom