Unakwepa chakula cha mchana ukiwa wapi ?Jaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana
Pia angalia namna wanavyoongea lazima tu utakubaliana na maneno yangu
Duniani wawili wawili lakini kwa akili sijui!?Jaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana
Pia angalia namna wanavyoongea lazima tu utakubaliana na maneno yangu
Bangi imehalalishwa?
Biden ni mkweli Polepole ni mnafiki . Kwa hili tu hawafananiJaribu kukaa utulie uangalie picha za bwana Polepole na za rais wa America bwana Joe Biden halafu utaamini maneno yangu kuwa hawa binadamu wenzetu wamefanana sana
Pia angalia namna wanavyoongea na namana wanavyotazama lazima tu utakubaliana na maneno yangu
Ndio mkuu sasa huvi tunaitengenezea majani ya chaiBangi imehalalishwa?
Kwamba kakosa hata mjane wa Chato amtunze kwa malipo ya kumbatioNilichoona wamefanana ni uzee tu
Ila mmoja wapo ni Babu kijana aliekosa matunzo!
Aisee!!!Kwamba kakosa hata mjane wa Chato amtunze kwa malipo ya kumbatio
Kuna muda nawaza kama watoto wa hayati wanapitia humu sijui wanajisikiaje....ila watu wamezidi imekua kama sifa sasa hivi..yaani unamtukana marehemu public utadhani hana familia au ndugu.!Aisee!!!
Umevuka mstari.
Muache yule mjane.
Mama wa watu hakujihusisha kwenye siasa au maamuzi ya hayati ...
Marehemu hata watoto wake kwa namna fulani wanafurahia lile tukio la betri kukata moto mwezi machi 2021Kuna muda nawaza kama watoto wa hayati wanapitia humu sijui wanajisikiaje....ila watu wamezidi imekua kama sifa sasa hivi..yaani unamtukana marehemu public utadhani hana familia au ndugu.!
Ni ujinga tu.Kuna muda nawaza kama watoto wa hayati wanapitia humu sijui wanajisikiaje....ila watu wamezidi imekua kama sifa sasa hivi..yaani unamtukana marehemu public utadhani hana familia au ndugu.!
hahahahahhahaKwamba kakosa hata mjane wa Chato amtunze kwa malipo ya kumbatio
Umefurahi sana digo eti eehKuna mambo yanafurahisha sana...