Kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali ya kidini?

Jibu umepata?
 
Kuna mahusiano,asili ya wauzaji wa hiyo kitu ni Waislamu. Lakini kuvaa hivyo haina maana hao ni Magaidi,hapo ndiyo umeingiza chuki za kidini.

Gonga Alkasusi upate afya wewe,acha rongo rongo zako hapa.
Hajataja neno gaidi
 
Me nilimuona mmoja tanga hakua amevaa kanzu,,,alikua amevaa kawaida tu kama wanaouza kahawa labda inategemea na sehemu idk!
 
Mara zote ukweli unauma.

Umetwangwa na kitu kizito a sasa unalia lia
 
kweli wauzaji wa hii kitu ni waislam ,Wake 4 zamani watu walikuwa wanamudu kwa maisha ya sasa watu wanakula matakataka utaweza kuwatimizia Baja zao 4
 
alkasus ni kwajil yao jobless useless hopeless, mtu kwasiku anazunguka tu karibu na jengo la ibada anacheza bao na karata... Mtu wa aina hii ni mwehu mpuuzi hafai kuish
 
Hawa answari ndio chaka la wazee wa suicide vest..kaa mbali nao kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli kabisa,binafsi mm cjawah kuinywa maana nawaona masuni wako barabaran wakitembea cjaona sehemu maalum.Kwann inahusishwa kidini masuni zaidi?anayesema kuna tofaut atuletee ushahid kwa picha.
 
Selemani Jafo
 
Kwaiyo kuvaa Yale mavazi ya kanzu Ni kuwa na itikadi Kali ya kidini!? Acha bangi dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…