Nimejaribu sana kufuatilia wachezaji wanaovaa mamba 17 hapa kwetu na baadhi wa huko ulaya, nimegundua hawa wachezaji huwa na ufundi sana na wanajua sana, ni nadra sana kumkuta mchezaji anavalia namba 17 halafu sio mchezaji mzuri.
Chama - Simba
Faridi Musa - Yanga
Sospeter Bajana - Azam
Sadio Mane - Bayern Munchen
Kevin De Bruyne - Man City
Jafar Aalum Kibaya - Ihefu FC
Hasan Mwaterema - Kagera Sugar
Sixtus sabilo-mbeya city
Hawa ni wachache kati ya wengi ambao mimi binafsi huwa nawakubali sana..
29Tuisila hivi ana vaa ngapi?