Kuna uhusiano mkubwa kati ya hamu ya mapenzi na kutofikiria vizuri

Kuna uhusiano mkubwa kati ya hamu ya mapenzi na kutofikiria vizuri

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Amini nawaambia, ukiwa na hamu akili kichwani pia zinapungua. Yaani kama ni mwanaume kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, mpaka cha chini kipate haki yake ndio akili zinarudi.

Angalia hata mwanamke ambae hananiliwi vizuri huwa anakisirani sana na hasira muda wote, hapo ndio utaona shida ya upwiru.

Hata hivyo ni vyema kufanya maamuzi sahihi, kwani ukiendekeza nyege zinaweza kukuharibia mipango yako.
 
Unataka kusema Chura kiziwi ana upwiru ndo maana ana hasira? wenye D mbili tumekuelewa
 
Back
Top Bottom